Wadada watumishi wasio na ndoa hivi mna nini?

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,449
9,372
Kwanza niombe radhi kwa yoyote ambaye uzi huu utamgusa moja kwa moja kwani lengo langu si kumsema mtu bali nikusema mambo ambayo yanatokea katika maisha yetu ya kila siku tunayaona ndio maana imebidi niandike ili tubadilishane mawazo.

Hii hasa kwa wadada ambao ni watumishi haijalishi mtumishi wa umma au sekta binafsi ambao hawajaolewa na ambao kwa bahati Mungu aliwasaidia wakazaa ila hawana ndoa wanaishi na watoto wao bila baba zao.

Kiukweli hakuna kundi linaloteseka kimahusiano kama hili kundi na sababu inayowafanya wateseke kwa mtazamo wangu ni kuwa wengi si wa kweli.

Kutokuwa kwao wakweli basi wengi ujikuta wanangukia pua na kujilamu mwishowe hujikuta mapenzi yanawapotezea furaha ya maisha kwani ule uongo alioongopea awali hujakujizihilisha wazi ni uongo mbele ya watu aliokuwa nao kila siku hivyo huona aibu

Uongo wao ni nini ipo hivi wengi hawa wadada hasa ambao hawana ndoa kipindi anaanza kazi wengi wao umri huwa bado cause ndio kwanza wengi huwa wametoka shule so ubinti bado upo na kwakua wengi wao huwa wanaenda fanyia kazi miji ambayo si wenyeji basi huwa wapo peke yao yao hivyo basi pale ofisini au nje ya ofisi anaweza kukuta vijana wa kiume ambao hawajaoa.

Kwaiyo binti anapokuwa anatongozwa na hawa vijana ambao nao wanaanza maisha mabinti wengi huwa hawaelewi wengi hudanganya oooh na mtu wangu yupo sijui wapi wapi mda unaenda miaka inakatika binti yupo tu kwakua umri si rafiki wale vijana aliowakataa anapata wenzi wananzisha familia yule binti yupo tu na drama zake mara na mchumba sijui nini nini at the end unamuona dada ana mimba ukiwambia tuonyeshe shemeji ataki ooh shemeji yenu yupo mbali kizazi mtamjua siku zinaenda mala anazaa mara mtoto anaanza shule baba wa mtoto hajui.

Siku zinaenda unasikia yule dada anaropoka ooh wanaume waongo sijui mimi sasa naolewa na yoyote yule kwakua wale vijana alioanza nao kazi washaoa wapo bize na familia zao hawamtilii manani tena.

Mwisho wa siku unatembelea JF unakuta kajilipua umu anatafuta mume na yupo serious kweli

My take

Dada zangu acheni drama drama zenu kuweni wawazi maisha mazuri yanatengenezwa huyo huyo unayemuona hapo hana kitu unamdharau na kuona huwezi fanya naye maisha na kutaka mwenye maisha unajidanganya wanaume wengi waliofanikiwa maisha ukiwaona asilimia 99 wanafamilia zao.

Kwaiyo usivunge jilipue na uyo uyo hapo acha mbwebwe za chuo za nyumbani acha mawazo ya gari nzuri nyumba nzuri bila msoto komaa na uyo uyo hapo muanze mipango ya kuwa ni nyumba nzuri gari nzuri pesa bank nk pia familia nzuri.

Badilikeni acheni mbwebwe
 
Kwanza niombe radhi kwa yoyote ambaye uzi huu utamgusa moja kwa moja kwani lengo langu si kumsema mtu bali nikusema mambo ambayo yanatokea katika maisha yetu ya kila siku tunayaona ndio maana imebidi niandike ili tubadilishane mawazo

Hii hasa kwa wadada ambao ni watumishi haijalishi mtumishi wa umma au sekta binafsi ambao hawajaolewa na ambao kwa bahati mungu aliwasaidia wakazaa ila hawana ndoa wanaishi na watoto wao bila baba zao

Kiukweli hakuna kundi linaloteseka kimahusiano kama hili kundi na sababu inayowafanya wateseke kwa mtazamo wangu ni kuwa wengi si wa kweli


Kutokuwa kwao wakweli basi wengi ujikuta wanangukia pua nakujilamu mwishowe hujikuta mapenzi yanawapotezea furaha ya maisha kwani ule uongo alioongopea awali hujakujizihilisha wazi ni uongo mbele ya watu aliokuwa nao kila siku hivyo huona aibu

Uongo wao ni nini ipo hivi wengi hawa wadada has ambao hawana ndoa kipindi anaanza kazi wengi wao umri huwa bado cause ndio kwanza wengi huwa wametoka shule so ubinti bado upo na kwakua wengi wao huwa wanaenda fanyia kazi miji ambayo si wenyeji basi huwa wapo Peke yao yao hivyo basi pale ofisini au nje ya ofisi anaweza kukuta vijana wa kiume ambao hawajaoa


Kwaiyo binti anapokuwa anatongozwa na hawa vijana ambao nao wanaanza maisha mabinti wengi huwa hawaelewi wengi hudanganya oooh na mtu wangu yupo sijui wapi wapi mda unaenda miaka inakatika binti yupo tu kwakua umri si rafiki wale vijana aliowakataa anapata wenzi wananzisha familia yule binti yupo tu na drama zake Mala na mchumba sijui nini nini at the end unamuona dada ana mimba ukiwambia tuonyeshe shemeji ataki ooh shemeji yenu yupo mbali kizazi mtamjua siku zinaenda mala anazaa Mala mtoto anaanza shule baba wa mtoto hajui

Siku zinaenda unasikia yule dada analopoka ooh wanaume waongo sijui n mimi sasa nalewa na yoyote yule kwakua wale vijana alioanza nao kazi washaoa wapo bize na familia zao hawamtilii manani tena

Mwisho wa siku unatembelea jf unakuta kajilipua umu anatafuta mume na yupo serious kweli

My take

Dada zangu acheni drama drama zenu kuweni wawazi maisha mazuri yanatengenezwa huyo huyo unayemuonahapo hana kitu unamdharau na kuona huwezi fanya naye maisha na kutaka mwenye maisha unajidanganya wanaume wengi waliofanikiwa maisha ukiwaona asilimia 99 wanafamilia zao

Kwaiyo usivunge jilipue na uyo uyo hapo acha mbwebwe za chuo za nyumbani acha mawazo ya gari nzuri nyumba nzuri bila msoto komaaaa na uyo uyo hapo muanze mipango ya kuwa n nyumba nzuri gari nzuri pesa bank nk pia familia nzuri

Badilikeni acheni mbwebwe
 
daaah.... Hii ni kweli kabisa yan.
Afu wengi wanataka mwanaume wamkute ndani kuna seti ya sofa , kitanda safi , flat screen, n.k. Wakikuta ndani kwako kuna kiti kimoja cha plastic na meza ya plastic na mziki ni pc yako ulotoka nayo chuo na vispika vyake ndo utaskia izo drama .....ooh nishamtambulisha kwetu ........
 
Ni kweli mkuu, mimi mwenyewe nawafahamu wawili yaani kila mara wao walikuwa ukiwatongoza wanadai jamani shemeji yenu yupoo kwani mpaka mumuone? Washkaji wanataka wakatoe mahari tokea 2014 mabinti hawataki....leo hii sasa duuh, wana watoto na wamepanga nyumba cha ajabu wanaenda kuomba wapate waume.

Ila cha ajabu zaidi huwa wanasema "Wanaume ni Waongo" hahaha aisee wanashangaza sana.
 
Mimi kazini kwetu kuna wadada kama watano hivi wanaishi kwa hizo drama. Wanaishi kwa ndoto za kuolewa na wafanyakazi wa bank, TRA n.k huku wakitukataa walimu wenzao. Sasa na sisi tumeamua kuachana nao huku tukiamini baada ya muda mfupi tutawaita single mums
 
nan kakwambia ndo sababu wasiolewe mda ukifika wataolewa tuu na istoshe wanaume wa saiv sio waoaji n wachezeaji tuu sasa wanawake waki wakataa mnasema wanapoteza mda
kuolewa n swala la mda tuu ata miaka 40 wataolewa tuu
 
Kwanza niombe radhi kwa yoyote ambaye uzi huu utamgusa moja kwa moja kwani lengo langu si kumsema mtu bali nikusema mambo ambayo yanatokea katika maisha yetu ya kila siku tunayaona ndio maana imebidi niandike ili tubadilishane mawazo

Hii hasa kwa wadada ambao ni watumishi haijalishi mtumishi wa umma au sekta binafsi ambao hawajaolewa na ambao kwa bahati mungu aliwasaidia wakazaa ila hawana ndoa wanaishi na watoto wao bila baba zao

Kiukweli hakuna kundi linaloteseka kimahusiano kama hili kundi na sababu inayowafanya wateseke kwa mtazamo wangu ni kuwa wengi si wa kweli


Kutokuwa kwao wakweli basi wengi ujikuta wanangukia pua nakujilamu mwishowe hujikuta mapenzi yanawapotezea furaha ya maisha kwani ule uongo alioongopea awali hujakujizihilisha wazi ni uongo mbele ya watu aliokuwa nao kila siku hivyo huona aibu

Uongo wao ni nini ipo hivi wengi hawa wadada has ambao hawana ndoa kipindi anaanza kazi wengi wao umri huwa bado cause ndio kwanza wengi huwa wametoka shule so ubinti bado upo na kwakua wengi wao huwa wanaenda fanyia kazi miji ambayo si wenyeji basi huwa wapo Peke yao yao hivyo basi pale ofisini au nje ya ofisi anaweza kukuta vijana wa kiume ambao hawajaoa


Kwaiyo binti anapokuwa anatongozwa na hawa vijana ambao nao wanaanza maisha mabinti wengi huwa hawaelewi wengi hudanganya oooh na mtu wangu yupo sijui wapi wapi mda unaenda miaka inakatika binti yupo tu kwakua umri si rafiki wale vijana aliowakataa anapata wenzi wananzisha familia yule binti yupo tu na drama zake Mala na mchumba sijui nini nini at the end unamuona dada ana mimba ukiwambia tuonyeshe shemeji ataki ooh shemeji yenu yupo mbali kizazi mtamjua siku zinaenda mala anazaa Mala mtoto anaanza shule baba wa mtoto hajui

Siku zinaenda unasikia yule dada analopoka ooh wanaume waongo sijui n mimi sasa nalewa na yoyote yule kwakua wale vijana alioanza nao kazi washaoa wapo bize na familia zao hawamtilii manani tena

Mwisho wa siku unatembelea jf unakuta kajilipua umu anatafuta mume na yupo serious kweli

My take

Dada zangu acheni drama drama zenu kuweni wawazi maisha mazuri yanatengenezwa huyo huyo unayemuonahapo hana kitu unamdharau na kuona huwezi fanya naye maisha na kutaka mwenye maisha unajidanganya wanaume wengi waliofanikiwa maisha ukiwaona asilimia 99 wanafamilia zao

Kwaiyo usivunge jilipue na uyo uyo hapo acha mbwebwe za chuo za nyumbani acha mawazo ya gari nzuri nyumba nzuri bila msoto komaaaa na uyo uyo hapo muanze mipango ya kuwa n nyumba nzuri gari nzuri pesa bank nk pia familia nzuri

Badilikeni acheni mbwebwe
Wanaangalia maisha yao kwanza na wengi wao wanataka mtu mwenye vigezo vingi
 
Mimi kazini kwetu kuna wadada kama watano hivi wanaishi kwa hizo drama. Wanaishi kwa ndoto za kuolewa na wafanyakazi wa bank, TRA n.k huku wakitukataa walimu wenzao. Sasa na sisi tumeamua kuachana nao huku tukiamini baada ya muda mfupi tutawaita single mums
Hahahaaahaha ni shiiida ila watakuja wapigia magot muwaoe hata bila ya Bride price
 
Kuna kaka nilifanya nae kazi mwenyeji wa Bukoba (Mhaya). Alinieleza alipomaliza shule, post yake ya kwanza ilikuwa DSM. Hakumfahamu mtu yeyote Dar, aliishi guest mpaka akapata chumba, alianza kununua vitu vidogovidogo. Kanisani alikutana na binti wa nyumbani, roho yake ilimpenda sana. Walianza mawasiliano, alimtamkia binti nia yake, siku aliyomkaribisha binti nyumbani, binti alimuuliza kwa dharau sana, yaani unanioa unilete kwenye chumba?

Toka pale mawasiliano yao yalikufa. Ile hali ilimpa ari kaka ya kuanza kuuliza bei ya kiwanja, alinunua kiwanja akajenga. Alikwenda nyumbani likizo akapata mchumba kule baada ya kufunga ndoa alimleta mke DSM. Kazini mambo yalikaa vizuri alinunua kiwanja cha pili. Akalijenga nyumba ya kupangisha. Alipoanza kutafuta mpangaji, huwezi kuamini alipigiwa simu na yule dada mchumba wa kwanza anatafuta nyumba. Jibu unalo mwenyewe uso wa dada ulikuwaje.
 
Kuna kaka nilifanya nae kazi mwenyeji wa Bukoba (Mhaya). Alinieleza alipomaliza shule, post yake ya kwanza ilikuwa DSM. Hakumfahamu mtu yeyote Dar, aliishe guest mpaka akapata chumba, alianza kununua vitu vidogovidogo. Kanisani alikutana na binti wa nyumbani, roho yake ilimpenda sana. Walianza mawasiliano, alimtamkia binti nia yake, siku aliyomkaribisha binti nyumbani, binti alimuuliza kwa dharau sana, yaani unanioa unilete kwenye chumba?

Toka pale mawasiliano yao yalikufa. Ile hali ilimpa ari kaka ya kuanza kuuliza bei ya kiwanja, alinunua kiwanja akajenga. Alikwenda nyumbani likizo akapata mchumba kule baada ya kufunga ndoa alimleta mke DSM. Kazini mambo yalikaa vizuri alinunua kiwanja cha pili. Akalijenga nyumba ya kupangisha. Alipoanza kutafuta mpangaji, huwezi kuamini alipigiwa simu na yule dada mchumba wa kwanza anatafuta nyumba. Jibu unalo mwenyewe uso wa dada ulikuwaje.
mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Kuna kaka nilifanya nae kazi mwenyeji wa Bukoba (Mhaya). Alinieleza alipomaliza shule, post yake ya kwanza ilikuwa DSM. Hakumfahamu mtu yeyote Dar, aliishi guest mpaka akapata chumba, alianza kununua vitu vidogovidogo. Kanisani alikutana na binti wa nyumbani, roho yake ilimpenda sana. Walianza mawasiliano, alimtamkia binti nia yake, siku aliyomkaribisha binti nyumbani, binti alimuuliza kwa dharau sana, yaani unanioa unilete kwenye chumba?

Toka pale mawasiliano yao yalikufa. Ile hali ilimpa ari kaka ya kuanza kuuliza bei ya kiwanja, alinunua kiwanja akajenga. Alikwenda nyumbani likizo akapata mchumba kule baada ya kufunga ndoa alimleta mke DSM. Kazini mambo yalikaa vizuri alinunua kiwanja cha pili. Akalijenga nyumba ya kupangisha. Alipoanza kutafuta mpangaji, huwezi kuamini alipigiwa simu na yule dada mchumba wa kwanza anatafuta nyumba. Jibu unalo mwenyewe uso wa dada ulikuwaje.
Hii imetutokea wengi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom