Wanaume/mwanaume awe kapera au ameoa akijisikia kutoka nje ya nyumba kupata huduma kama ya mkewe au gf huwa anaenda tu na kununua kirahisi tu tena anachagua anayemhitaji (mweupe/mweusi/mrefu/mfupi/mnene/mwembamba etc).
Je! Kwa wadada/mdada atakayejisikia kupata huduma kama ya mumewe/bf huwa wanaenda wapi au kwa anayehitaji anaweza kupata wapi? Hii ni hasa mijini.
Nawasilisha
Kwa DSM najua wapo wadada wanaojiuza maeneo ya Mjini kati, Masaki, Kinondoni etc
Je! Kwa wadada/mdada atakayejisikia kupata huduma kama ya mumewe/bf huwa wanaenda wapi au kwa anayehitaji anaweza kupata wapi? Hii ni hasa mijini.
Nawasilisha
Kwa DSM najua wapo wadada wanaojiuza maeneo ya Mjini kati, Masaki, Kinondoni etc