Wadada wanavyojiweka mbali na ndoa

Uta
Duh, kumbe bado uko nyuma Mkuu hujui aina hii mpya ya utapeli wa wadada wa mjini! Shtuka hatutumagi tena nauli bali aje na nauli yake mambo mengine yafuate
 
Kusema ukweli wanawake wa kuoa ni kuanzia miaka 28. Huyu anakua kuna umbwe flani kashalipata na anakua anataka ndoa kweli sio kwenda kujaribu
 
Ni bahati mbaya tu ,ila Mimi na bahati nae mtumiaga nauli lazima aje na akija lazima nimle.
 
Pole sana rfk, hizo style ulizotumia kupiga verse nadhani si rahisi kumpata msichana, na pesa ukatuma haraka haraka.Next time hata kama una hamu ya kuoa basi usionyesha kuwa na haraka sana, kuomba appointment siku hiyo hiyo na baadaye kutuma pesa,yeye kaomba 3000/- wew ukatuma 10,000/-,kupata number hiyo ilikuwa ni hatua kubwa ya kwanza ili angalau usome mienendo yake kupitia mawasiliano kabla ya kukutana rasmi.
 
Mkuu kuliko utume nauli bora umfuate.Ndio upendo wa dhati
 
Sema ukweli hela ndo imekuuma
 
Nilishazirudisha nyingi sana hizo

Ni hivi nilikuwa nikituma nauli nakupigia kukusikilizia

Ukianza story sijui mama ake mama kaja

Sijui baba karudi katapi

Mimi faster huduma kwa wateja tigo wairudishe nilikuwa narudisha mpaka mkono

Halafu namtumia txt ya kum-mind nilikuwa naoga matusi ila pes imerudi
 
Mi nilishawahi kufahamiana na mtu siku mbili tu, siku ya tatu ananiomba elfu 30 ya saluni.....nikatoka ndukii sikugeuka nyuma tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…