Wadada wa Bongo Movies na umri

Wadada wa Bongo Movies na umri

Mdhamini

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2016
Posts
214
Reaction score
172
Jamani mbona wadada wa Bongo movie umri wao kila siku ni under 30 yrs always, mimi mpaka sasa nimefika 39 lakini kila siku nasikia wapo under 30. kuna siri gani na sisi tutumie miaka yetu isipande.
 
Hii inamaana ukifika miaka 30 na bado hayajakunyookea jua kwamba umeumia
 
wanataka waendelee kubaki kwenye soko kwani umri wa mtu huendana na matendo , hivyo wanaogopa kujionyesha kuwa na umri mkubwa kwani matendo yao hakika niyakijinga nk, hivyo wana act hadi kwenye uhalisia wa maisha yao,
 
Sasa ndipo watakwenda kujifunza ule msemo kuwa ujana ni maji ya moto uzee wanyemelea.

Now watakwenda kujua tofauti ya matumizi ya muda wao wakati wa ujana kujirusha na kila mwanaume anayekuja mbele yao, kuuza sura Instagram, kukaa wakiwekeza pesa kwenye mambo ya kipuuzi badala ya maendeleo na badala yake wajue kuwa maisha si kufanya ujinga ujinga. Wakati wenzao wanajielimisha na shule, wanasoma, wanatafuta wanaume serious wa kuwachumbia na wameolewa now wanawatoto na familia zao zinaendelea poa, wao walikuwa busy kuchomoa ujauzito, kuuza sura na kuishi as if kila siku wana miaka 16. Pumbavu hawa
 
Back
Top Bottom