Wadada ujasiri huu mmetoa wapi?

Wadada ujasiri huu mmetoa wapi?

siku hizi ma bibi harusi wengi ni kama wanaoa wao mahari amajitolea sherehe anagharamia hapo alie nn sasa hahha

Mabibi arusi WENGI...hapana sio kweli. Sikatai wapo wanaofanya hivyo ila sio WENGI kama unavyodai
 
Hahahaha ni kweli mkuu hata mm nlikua nikijiuliza ilo swali bila majibu
 
Ni suala na mwelekeo wa upepo kubadilika. Huwezi kufanya vitu vya karne ya 18 hadi leo!

Sie pamoja na kuwa wa 1947 lakini tumeshazoea.
 
walikuwa wanalia kwa sababu ya kuhofia kazi anayokwenda kuifanya huko kwa mumewe , wewe kugegedana kila siku mchezo hasahasa siku za mwanzo mwanzo wa ndoa .
 
Zamani wachumba wanaonana kwa mara ya kwanza siku ya harusi. Hapo bi harusi lazima alie maana hamjui huyo anayeenda kuishi naye atakuwa mume wa namna gani maishani.
 
chezea utamu wa dushelele ww,hadi jino jipya litaonekana,sikuizi watu mafundi bhana hadi nyumbani wanasahau
 
Zamani mabinti wengi walikuwa kama sio mabikira basi walikuwa wanajitunza na kujiheshimu na hawaingiliwi hovyo hovyo kama siku hizi ambapo mabinti ni wazoefu wa NGONo tena ngono nzembe. Ni wazoefu na hawahofii kabisa wanaume, kwa hiyo sio ajabu kumkuta siku ya harusi akichekelea mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom