Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Wadau labda tusaidiane kidogo katika hili, NIlikua nikiudhuria sherehe za harusi hapo zamani, hukawii kushikwa na huruma jinsi wadada wanaoolewa wakitokwa na machozi kama watoto wadogo, walikua wanalia kuanzia siku ya sendoff mpaka harusi yenyewe unakuta mdada anabadilishiwa leso tu kwa machozi yanayomtoka tulikua tukiambiwa ni huzuni ya kuiacha familia yake na kwenda kwenye makazi mapya.
Sasa nimefikisha zaidi ya harusi 20 hivi karibuni, kila nikienda hamna cha chozi la bibi harusi wala nini yule maid analekebisha makeup tu wala haangaiki na macho unakuta bibi harusi jicho kavu kabisa na bado anakupa tabasamu la mwaka.
Ninini kimebadilika, mmepata wapi ujasiri huu tofauti na zaman.i
Jumapili njema .
Sasa nimefikisha zaidi ya harusi 20 hivi karibuni, kila nikienda hamna cha chozi la bibi harusi wala nini yule maid analekebisha makeup tu wala haangaiki na macho unakuta bibi harusi jicho kavu kabisa na bado anakupa tabasamu la mwaka.
Ninini kimebadilika, mmepata wapi ujasiri huu tofauti na zaman.i
Jumapili njema .