witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,100
Weee ....ulichokiwaza ndio hicho hicho!Kuna issue moja hivi ya kitambo sana sasa najaribu kufikiria kama hiyo nyeusi ni code tunaifunguaje!
Halafu kama ni mawazo yangu basi ile ilikuwa story inayowasilisha uhalisia fulani.
Anyways ngoja niwaachie wenye mababe zao humu wapambane
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo hayaendi mbali na ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app