Sasa assume mie nitakuja kwako na id ngapi? Utamu wa somo ufanye majaribio kwa vitendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa hii avatar inanipa wasi wasi pia. Asije kuwa anataka kutufukuzia ndege ili wawe wateja wakeView attachment 1048098
Avatar ya da jane yenyewe utata mtupu isije kuwa anatafuta wateja wa dildo tu
Mkuu mfano member mmejuana humu hatimaye mkawa Wapenzi unaweza kusex nae bila kupima, Afya kwanza aisee mengine yafuate.Daaahhh jamaa hata kama aliupata kwa njia gani ila kama anapitia huu uzi ajue kabisaa anachokifanya sio poa..
Just imagine humu hatujuani ndo kaweka malengo hayo je, kwa hawa wa mitaani inakuwaje na hizo pesa zake ???....
Na nyie wadada mambo ya kufuniliwafuniliwa kama vyoo cha public mtakuja kuponzwa na kuponza familia zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachojalisha ni taarifa mkuu....Da jane kapigwa kavu plus mkopo juu alichoambulia ni docs za kua cd4 jamaa hana,yani presha inapanda presha inashuka
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
KAPIME UJITAMBUETahadhari wana Jf.
Kuna member humu anaishi na virusi vya UKIMWI.
Na anaambukiza kwa makusudi.
Na target yake ni kuwaambukiza wadada wa Jf kwa kisingizio cha kuwatafutia kazi mkoa aliopo.
Ushahidi ninao.
Na member huyu anaitwa Nyeusi 20 (fungua code)
Ushahidi ninao kama kaathirika....
Na hata kama moderate watataka uthibitisho wa vyeti vyake (nilivipiga picha) nitaweka hapa.
Lengo sio kumuanika au kumnyanyapaa...lengo ni kuwapa tahadhari members wengine maana katika diary yake ameweke lengo la kuambukiza wadada 10 kutoka Jf.
(Modereta wakitaka pia screenshot za hio kurasa ya diary aliyoandika nitaiweka hapa au hata huko Pm kwao).
Kama kuna mtu anamjua huyu member au ashawahi kukutana nae live....NAOMBA AWE SHUHUDA WA AFYA YAKE (afya ya Nyeusi 20)
Atoae tahadhari, anawapenda wenzake.
Huyo member ana pesa sana na yuko tayari kukugharamia na kukupa hata milioni ilimradi atimize lengo lake.
Narudia tena.
Sina nia ya kumchafua mtu ila natoa tahadhari tu.
Muwe na asubuhi njema.
Nawapenda sana.
Wadada tamaa zitatuua....hasa kwa wapenda miteremko.
...mimi hapa na tumefuta!Kama ulishafanyiwa muhamala na bwana nyeusi ishirini naomba tufute urafiki haraka
Ku assume ni ngumu
Inakuwa hivi anaweza akaja na Id ya kwanza ukamchunia
Akaja na Id ya pili ukamchunia
Akaja na ya tatu ukaanza kujichatisha
Anaaikumbuka tena ile ya kwanza
Unajikuta umeingia kingi
Kwa hivyo mdada atajua ana wababe wawili jf kumbe ni mmoja tu!!
Sasa na wewe unataka kuwa two in one?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachojalisha ni taarifa mkuu....
Kila mtu mwenye akili atakuwa kashasoma ni kitu gani kipo nyuma ya pazia, aidha da jane ndo muhanga au rafiki ake wa karibu humu jf ndo kakutana na kadhia hiyo
Uzuri nilisikia mtu akianza kutumia ARV hata mzigo wa virusi huanza kupungua na kuwa ngumu kumuambukiza mtu unless mkaushane visima hadi mchubuane.. wakamia show na wenye mitwangio mikubwa ndo wana chances kubwa ya kuvipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mazingira mkuu unless uwe na kifaa cha kupimia room ila wengi huo muda wa kupima hawana..Mkuu mfano member mmejuana humu hatimaye mkawa Wapenzi unaweza kusex nae bila kupima, Afya kwanza aisee mengine yafuate.
Hata Mimi mmewaza but I'm not shuaaa naikumbukaaKuna issue moja hivi ya kitambo sana sasa najaribu kufikiria kama hiyo nyeusi ni code tunaifunguaje!
Halafu kama ni mawazo yangu basi ile ilikuwa story inayowasilisha uhalisia fulani.
Anyways ngoja niwaachie wenye mababe zao humu wapambane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuaminiana kwenye Afya mkuuKuna mazingira mkuu unless uwe na kifaa cha kupimia room ila wengi huo muda wa kupima hawana..
Fikiria mtu anatoka na manzi club na anaenda kavu au kakutana na mtu fb na kesho anaenda nae kavu, sasa vipi kwa humu jf ambapo watu wanaaminiana kiasi
Sent using Jamii Forums mobile app