Wadada tusilazimishe ndoa

jamaan sio vizuri mjue mnavyotufanyia
Kuna akuolewa na wamatumizi wale wa vichupichupi na chura kubwa maringo, kogo i phone 7, kuku na heinken ni wamatumizi alafu wale wanaokujulia hali ukiugua wanaokushawishi ufuate njia ya Mungu (allah) wanaokushauri maendeleo ndio akina mama wenye nyumba, wamatumizi ndoa mtaziskia redion
 
Mwanakondoo wangu ohh mahubiri yangu pale kanisani yamekujenge sana mpaka umekua na maneno ya busara na hekima upo juu, ila ongeza kasi ya kutoa sadaka hapo tu ndiyo unapo haribu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…