Hahaha! Sio vinguo vya watoto bana, sema havivaliwi na wenye vitambi ndio mana wakivaa utadhani kakwapua cha mdogo wake lol.ingekua bora km mngefanya ivo...
lakini ndo kwanza mnatinga vle vnguo vya watoto...
Na usicheke sana manake kicheko pia kinaongeza kitambi, mashati yatabana hayo! Shauri zako!teheheeee...chit chat bana tam kwel cna haja y kwenda kwenye jukwaa la ucheshi...humu humu nacheka sana
ni maisha yamechagua ivyo au ni uzembe wenu tu??
kwa nn mdada (wasichana) unakua na kitambi aise...
huna hata mtt wa dawa...tumbo kule...
mnakula nn??
au mani*?? zimewazidi?
sasa baba kitambii...mama kitambiii...watoto wa cku hizi nao mule mule...
tunashindana?
nyie ni warembo sana...
ila mkiachia tumbo mnaharibu kila kitu..
hujui mbele wap nyuma wapi...
wenye watoto nawasamehe...
psssiiiixxxxiii!!
Ee kweli,kazi ipo,kwani kwa mfano kama ninacho unanisaidia kubeba si changu mwenyewe wewe kinakuuma nini?we tafuta asie nacho kama hupendi lakini kila m2 kwa raha zake,mi nlijua umekuja na point za kinachosababisha kumbe una yako!niache kula kwa raha eti naogopa kitambi kha,halafu nyie mnalia kitambi kitambi wengne Mungu ana makusudi yake embu pata picha nina matiti makubwa halafu tumbo sina kabisa how do i look,proportion inahusu pia,
mtambi wangu wa mimba bwana.
ulianza lini ku duu?
Lol! Mamzalendo natamani ningekuona Beach (just kiddin)
acha kuwaongopea wenzio kitambi kwa mwanamke hakipendezi hata kidogo!! ..... mwanamke anakakua kama ana mimba muda wote!!kha.
MP.
sasa ndugu kama kila ukinitoa unanilazimisha nipate kabia na nyama choma kuonyesha hujachoka ntaachaje kuwa na kitambi,nikisema twende tukale salad huelewi na nyie tusaidieni pia wakaka,sawa?
ingekua bora km mngefanya ivo...
lakini ndo kwanza mnatinga vle vnguo vya watoto...