Kuhusu T-shirt sio mbaya sana.
Hayo mengine ni kama unadate kadem ka uswahilin tena kati ya miaka 18--24 .
'A bad peace is better than a good quarrel '
Kwao katoka hakuna kitu,kaenda kwa bebe kaona chochote kitu si anaona afueni abebe maana anajua akiomba hela akanunue anaweza asipewe jomoniii😂😂
Wanataka kumiliki wanawake bila kuwahudumia ....wanaacha kuoa wanajikabidhi halafu hawahudumii sasa sijui wanawaza nini......Ila vijana wa kiume mna gubu sana chaaa,..mkiombwa nauli mnalia,mkiombwa spray ya buku jero kamasi hizi hapa,.jamanii hadi chumvi roho zinawaruka kama ndondo jikoni lolmnatakaje etii???
BURE GHALI jomoniii,.
Mapenzi ni starehe na starehe ni gharamaHivi wadau mnawachukuliaje wanawake wanaokuja gheto wakiona sukari, tambi, shati zuri, simu, pafyumu, saa au chochote kizuri wanataka?
Kwani mimi nilonunua sina shida? Wadada punguzeni njaa.
Hata kama mtu alikuwa na mpango nawe anakuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app