MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
Wapendwa ndugu zanguni hasa wadada.. Kama kuna kitu au vitu vilikuwa vinakutatiza kuhusiana na swala zima la urembo wa salon, basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na huduma za salon.
Hair Reluxer
Hair treatment
Hair special treatment
Misuko
Hair designing &
Beauty clinic (full package)
Je, una tatizo lolote la nywele zako za asili? Au una tatizo lolote la kucha zako za asili? Yaliyo ndani ya uwezo wangu nitayajibu na yale ambayo yatakuwa nje ya uwezo wangu basi nitayaacha.
"UZURI UNAZALIWA NAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE"
Pia kuna vitu kama;
Skin waxing
Detoxfication
Body scrub
Facial
Face mask
Body massage
Pedicure & manicure
Hand Gel colors & aqrilic extension nails
Kope na kutinda nyusi
Hivi vyote hapo juu tunaviita Beauty clinic…So kama una chochote kutoka kwenye package hiyo usisite kuniuliza pia.