Mimi nna nywele ndefuu na nzito ila huwa sisukii mara nyingii hata miez6 inaeza pita bila kusuka, tatizo siku hizi nikibana nywele nikitoa banio limejaa nywele yan zinakatika pia nikichana zinakatika mnoo, nisaidieni cha kufanya!! Asanteeni
Nimepata taarifa kwamba kaka Deo wa million hairs -mmoja wa waliokuwa wakijibu maswali kwa niaba ya million hairs amefariki juzi ijumaa. Msiba upo nyumbani kwake kwenye kota za BoT Mbezi beach, mazishi kesho jumatatu. RIP Deo
Nahitaji kufungua Saloon ya kike huku nilipo hakuna saloon ya kike na uhitaji upo mkubwa. Tafadhali naomba mentor mmoja anishauri. petamaji71@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.