MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
- Thread starter
- #321
Mimi nywele zangu ni ndefu hazikui tena natumia movit relaxer dawa ya nywele na steaming lorys sababu nina nywele nyingi kichwani
Mpenzi,sasa kama una nywele nyingi kichwani si ndio vizuri? Si unaona hapa wenzio waliowengi vilio vyao vikubwa ni kukatika nywele kila kukicha? Kuhusu kutokukua au kutokuongezeka...nafikiri ungezitream ki professional ili ziwe level na uenda zitaongezeka kwa urefu.