Wadada nisaidieni kujua

Wadada nisaidieni kujua

Kitang'wa1

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
460
Reaction score
285
Hello!

Naomba kujua, hata wanaume wenzangu mnaweza kunisaidia. Kijana unampigia simu binti (aweza kuwa mpenzi ama rafiki yako), anachelewa kuipokea simu, unapiga mara ya mwisho baadae, anaipokea, na kukuambia pole alikuwa akifanya mazoezi, unamuuliza mazoezi gani, anakwambia alikuwa akicheza Rede na wadada rika lake na wengine wake za watu, na binti huyo yupo zaidi ya 23 miaka. Nauliza, mazoezi kwa wadada ama mchezo wa Rede, una umri wake mwisho wa kuchezwa ama ni kama mazoezi tu ya kawaida kwa wadada na hauna umri? Nitashukuru nikijulishwa.

Ahsante!
 
Hahahhaha, kanifurahishaa! Labda wamekumbushia enzi zao ila lol
 
Halafu uoe mtu kama huyo kesho ukute hajafanyia nyumba usafi umshangae?
 
Haaa... Nini cha ajabu, mbona mie ni mama wa watoto kadhaa lakini kuna siku huwa najifurahisha na watoto wangu??? Kwa kucheza rede??
 
ni zoezi kama mazoezi mengine tu sema zoezi hili linatumika sana utotoni na haina maana mkubwa asifanye hili zoezi
 
Saa nyingine huwa tunajikumbusha.....hakuna roho kongwe!:glasses-nerdy:
 
Kumbuka kumchagua Magufuli ili zile kero zikuishe Na uendelee kupata raha
 
Ili wakapige na Push up badala ya kucheza rede pekee.

Ili tupate kizazi chenye afya bora, bila kujali aina ya mazoezi.. Ila kwa wanaume push ups za kutosha kwaajili ya chest Na abs exercises kwa six packs..

Kwani ww hufanyi mazoezi?
 
Maelezo yako hayajajitosheleza.kila siku ndio anafanya hivyo au siku moja.kunguni!!
 
Back
Top Bottom