Ohooooo!!!Nunua Calorite mkuu
le professeri hadi huku upoOhooooo!!!
niliwahi kutumiahayo nilitokewa chunusi kama mbegu za bamia .Sio kwa ngozi zote Inategemea na ngozi ya mtu
Huku kuna Uzi unaelezea namna ya kutengeneza. Kuandika hapa ni mlolongo mrefu. Nitautafuta nikutag.ASANTE mpenzi sasa issue sijui jinsi ya kutengeneza
Karibu Oriflame kuna mafuta kwa ajili yako, utatumia na kubaki na rangi yako asilia.. Namba yangu ni 0672416294 tuwasiliane nikuonyeshe bidhaa, matumizi na beijaman na mafuta gan ambayo n mazur kwajil ya ngoz ya mafuta na kuzuia machunusi???
msaada pls