Lakini na nyie pia naomba mtuelewe.
Kuna baadhi ya wanaume hawajui kuwajari wapenzi wao yani hawawapi muda wa kukaa nao wakabadilishana mawazo,Mwanamke mwenye mapenzi ya kweri anahitaji muda wako zaidi na hawezi kukufanyia hayo uliyoyasema,heshima atakupa ,atakujali atakusikiliza na sio vinginevyo