The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,068
Wadada wa siku hizi wana mambo ya ajabu sana.
unamtongoza anakataa na kusisitiza muwe marafiki wa kawaida kwamba ana mtu wake,sijui wewe ni fisi sielewi.
Cha ajabu wewe ambae amekataa usiwe mtu wake anaanza kukuletea invoice, kwa nini msiwape hao watu wenu?
Hili ni kati ya mambo yanayotukrra sana sisi wanaume,invoice wapelekeeni watu wenu.
unamtongoza anakataa na kusisitiza muwe marafiki wa kawaida kwamba ana mtu wake,sijui wewe ni fisi sielewi.
Cha ajabu wewe ambae amekataa usiwe mtu wake anaanza kukuletea invoice, kwa nini msiwape hao watu wenu?
Hili ni kati ya mambo yanayotukrra sana sisi wanaume,invoice wapelekeeni watu wenu.