Wadada mnaposema "yule kaka mzuri" mnamaanisha nini?

Lee Napoleon

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
896
566
Kuna haka kamsemo kama sio ndo neno..

Mtaani huku mnakua mnatuacha njia panda washkaji, na haka kaneno "yule mkaka mzuri". Hivi labda hatuelewi sisi na nadhani kuna kathread kalipita ila kama haka ila hakakupatiwa majibu vizuri.

Mfano sisi tukisemaga mwanamke yule ni mzuri wengi wetu we mean kama alivyo Masogange au tuseme kala Lola love (mfano tu).

Sasa nyie sijaelewa mnasemaga tu yule boy mzuri hatujaelewa bado hasa anaekuwaga handsome kwenu anaonekanaje ikibidi mfano tafadhari ( jibu in positive way sio vibaya kutaka kujua tu) mtaani huku tunazidi kuwa maganda ya ndizi tu ukizingatia mko wengi.
 
Hakuna mwanamme mbaya duniani lakini wako wanawake wabaya duniani.

Wanaume tunapaka baby care hadi siku za sikukuu na bado tunatokelezea waulize wao uzuri wa asili huko wapi wanawake wanadumu kwa ihsani ya watu wa China.
 
Hakuna mwanamme mbaya duniani lakini wako wanawake wabaya duniani.

Wanaume tunapaka baby care hadi siku za sikukuu na bado tunatokelezea waulize wao uzuri wa asili huko wapi wanawake wanadumu kwa ihsani ya watu wa China.
Hahahaha pole yako wenzio hawapaki bbycare. Hadi mikorogo wapo
 
Hakuna mwanamme mbaya duniani lakini wako wanawake wabaya duniani.

Wanaume tunapaka baby care hadi siku za sikukuu na bado tunatokelezea waulize wao uzuri wa asili huko wapi wanawake wanadumu kwa ihsani ya watu wa China.
Ndo maana nawauliza wajibu maana me coni mwanaume mbaya
 
Hakuna mwanamme mbaya duniani lakini wako wanawake wabaya duniani.

Wanaume tunapaka baby care hadi siku za sikukuu na bado tunatokelezea waulize wao uzuri wa asili huko wapi wanawake wanadumu kwa ihsani ya watu wa China.
Wabaya wapo tena wengi inategemea anayependa anazingatia sifa gani.
 
Haina haja ya kujitambulisha,upo huru kuchungulia my profile. Pesa kwanza,mengine baadae.

Mwanamke akikuona njiani umependeza akakusifia uzuri ni kwamba anaona una hela,ila usiombe akajua kibarua chako kama mfano fundi viatu,mbeba zege,ule uzuri unaosifiwa unapotea fasta
Hahahah wakiume or wakike wewe? Cjapanic comment itawatoa watu katika mtazamo nliouliza
 
Haina haja ya kujitambulisha,upo huru kuchungulia my profile. Pesa kwanza,mengine baadae.

Mwanamke akikuona njiani umependeza akakusifia uzuri ni kwamba anaona una hela,ila usiombe akajua kibarua chako kama mfano fundi viatu,mbeba zege,ule uzuri unaosifiwa unapotea fasta
Okay ahsante
 
Back
Top Bottom