BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Jamani.......sasa nikitoeje........?......wayiiiii.......
Ukitoe cha nini?
Wakuache upumue
Jamani.......sasa nikitoeje........?......wayiiiii.......
Siyo wadada tu hata na wanaume pia. Kitambi ni ishara ya kuwa na akili ndogo.....
Jamani.......sasa nikitoeje........?......wayiiiii.......
Ukitoe cha nini?
Wakuache upumue
Rakuvaria dira na mkanda wanapendaza sana
Preta wangu kumbe unacho mama...!
Kidogo cha bia.......nikinywa whisky kitaisha...............
Tatizo wanafakamia mno wakipewa ofa utadhani tumboni wana wageni.
BADILI TABIA, aisee inabidi wadada mbadili tabia ya kufakamia mamisosi ovyo ovyo. Hivyo vitambi vyenu vinaogofya kwenye kuwagegeda ! Teh tehHahahaha
Vitambi oyee
Nipo bana,mzima lakini?
Unaroho mbaya Jamani? Hivi ungesikia nimekufa ungefurahi?
BADILI TABIA, aisee inabidi wadada mbadili tabia ya kufakamia mamisosi ovyo ovyo. Hivyo vitambi vyenu vinaogofya kwenye kuwagegeda ! Teh teh
Bora unipe moyo mwaya...........na bia nimeongeza nyingine........ndio nasubiri nyama iive.........