Wadada leo mnisamehe kidogo

Mada ya kikubwa nimepata point hapa sijutii kuupitia huu uzi thanks mkuu
 
Aisee mulemuleeeeeee atakae bisha limempata la kisogo
 
Tena wengine watakuja kuusifia huu Uzi na kuongezea ya kwao lakini nao wamo kwenye hiyo kadhia
 
Kweli vyuma vimekaza yaani kutwa nzima mnawaza kuwasema wanawake kwa mabaya yao.... Badilikeni bhana. [emoji23] [emoji1]
 
Umenena vema huwa wana kamsemo kao...eti maisha yenyewe mafupi...
 
Uko sahihi mtoa mada ila shida moja ni kwamba, huyo asiye na kitu unamvumilia leo na kumu ecourage akipata sasa anahamia kwa slay gueens wewe unawekwa kipolo. Yaani na yeye akishakuwa njema anatafuta wale wadada wanaokula bila kutafuta hii ndo shida. Wanawake wengi leo hii wanalia wanaume zao wanatoka nje ya ndoa na wadada wa mjini kiasi kwmba nyumbani matunzo hafifu hela anapeleka kwa mchepuko!?

So hebu mjitathmini nyie wanaume kwanza kabla hamjawasema na kuwananga wanawake. Bila nyinyi kuwapa kipaumbele na good times unadhani wangekubali kuwa nyumba ndogo zenu? Na kama mkeo amekuvumilia from nothing to something, hao michepuko wa kazi gani?

Nawasilisha
 
Kwa upande mwingine hawa hawa ndio wanaoleta ukakasi.

Kama ulivyosema wajitathmini kwanza kabla ya lawama zilizo nyingi kumuangushia mwanamke.
 
Kwa upande mwingine hawa hawa ndio wanaoleta ukakasi.

Kama ulivyosema wajitathmini kwanza kabla ya lawama zilizo nyingi kumuangushia mwanamke.
Umeona eeh, hawa wanaume ndo chanzo. Wangekuwa wanathamini mchango wa mwanamke wake katu kusingekuwa na nyumba ndogo. Na pia wasingehudumia hzo nyumba ndogo naamini zingepungua kwa kiasi kikubwa au kwisha kabisa na pia pengine wangetulia na kuwavumilia hao wasio nazo
 
Pia naona kuna kachembe chembe ka ubaguzi hilo la kutiana moyo ni kwa wote na sio mwanaume pekee eti ndio atiwe moyo huku mwanamke kabweteka ukitegemea akifanikiwa atakuwa mwenzio ila mwisho wa siku unaachwa kwenye mataa.

Unakuta mtu ana nyumba ndogo kibao kisa tu kafanikiwa na kumsahau aliyekuwa naye bega kwa bega kwenye safari yake ya mafanikio.

Hatukatai ila wanaume wawe ni wenye kukumbuka sababu walio wengi huwa wanakuwa wasahaulifu na mwisho wa siku mwanamke ndio anaonekana hafai katika jamii.
 
Inasikitisha sana....
Wamekuelewa tatizo binadamu ni wabishi sana...

Kuna msemo unasema "To every successful man there is a strong woman behind"

Kwa hiyo mwanamke anayempapatikia mwanaume ambae tayari ana mafanikio, kuna uwezekano kwamba huo mwanaume tayari ana mwanamke aliyetoka nae mbali mpaka kufikia hayo mafanikio, ila wewe ukawa kiburudisho tu kwake...



Cc: mahondaw
 
What a beautiful msg... Barikiwa zaidi upate na mapacha duble duble
 
Umenena vyema mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…