Wadada kuweni na msimamo Muda mwingine

Wadada kuweni na msimamo Muda mwingine

guzman_

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2016
Posts
1,277
Reaction score
2,436
Tujifunze.
Kuna huyu mdada alikuwa anafanya kazi ya kuuza mgahawa kwa mtu mshahara 60,000 kwa mwezi akaja akafukuzwa alihangaika sana mjini mpaka mwenye nyumba akamtimua.

Sasa katika mishe ya kimjini mjini alikutana na huyu jamaa yangu wakapendana bana. Ikumbukwe huyu rafiki yangu ana mke. Jamaa kwa vile alimpenda sana huyu binti ilibidi amfanyie mpango wa namna ya kuishi mjini. Akampangia na kumpa mtaji wa duka kubwa tu la mahitaji ya nyumbani. Just imagine alikuwa anauza kwa siku mpaka 150,000/200,000.
Baadaye akaja akafungua saloon na kanunua gari ya kutembelea bado wakiwa na jamaa. Jamaa kamsaidia sana mpaka ada ya baadhi ya wadogo zake.

Maisha yameenda ila kwa kuwa bibie sasa alikuwa anajiweza akaanza kuvutia wawekezaji. Likatokea lijamaa huko likamrubuni kuwa linataka kumuoa likamvisha pete bila jamaa yangu kujua. Basi bibie nae kaingia tamaa ya kuolewa akatemana na jamaa kwa matusi makubwa. Mimi binafsi ikabidi niende kwa bidada kumsihi aache kumtukana ameshakubali kumuacha na hata chukua chochote. Ila hakusikia aliendelea kumtukana na dharau juu za kipuuzi tu. Jamaa yangu ni mpole by nature akaamua yaishe akabadili namba japo ilikuwa kasheshe wife wake kuridhia abadili namba bila sababu.

Basi bana lijamaa lile likahamia kabisa na sikia kwa bi shosti likamrubuni wauze kiwanja wakanunue sehemu tofauti. Hilo likafanyika jamaa kachukua hela kaweka kwenye biashara yake. Baadaye tena bi dada kauza saloon hela sijui anasema alimpa jamaa aongezee kwenye kununua gari.

Duka limeshuka mdogo mdogo mpaka alikopa anamadeni makubwa hayalipiki.
Sasa hamadi anakuja kujua kuwa lile jamaa lina mke na watoto na walishafunga ndoa. Baada ya kutaka kujua zaidi akamuuliza jamaa akatokomea kumuacha bibie hana hata mia.

Sasa mi nimejitokea kazini nimechoka nikapige K-vant natoka getini nasikia mtu ananiita Guzman Guzman kugeuka ni yule bibie hee tena. Basi bana nikakaa nae nikaongea nae kama shemu wa zamani. Ananieleza analia sana. Mpaka tupo pale mwenye nyumba anamwambia kesho anafunga nyumba atoe vitu.
Mimi binafsi nikasema siwezi kukusaidia akaniomba namba ya jamaa ajaribu kumwomba msamaha. Mimi nikasema sitoi mana alibadili kwa ajili yako.

Nilichofanya nikampigia jamaa akaja pale akakutana na huyu mwanamke alikuwa hajui kama niko nae. Bi dada anatetemeka anashindwa hata kumsalimia. Jamaa nae akapiga glass ya wine akasepa hakutaka hata kumzungumzia wala kumsikiliza.
Mimi nikachomoa 5k nikampa nauli aende kwake.

Sasa leo kashinda ananisumbua sana sana nimwombee msamaha kwa jamaa na jamaa hataki kumsikia kabisa.
Inshort dada kafukuzwa kwa mwenye nyumba na vitu vimefungiwa ndani amehamia kwa rafiki yake na mdogo wake.
Sasa nikawa nawaza shida yake ilikuwa ni nini hasa hata kama alitaka kumwacha aolewe si ange-mute tu asimtukane jamaa.
Sometimes not always unaweza kuwa bibi mdogo unakaishi maisha ya furaha kuliko kutaka kuwa main chick.
Funzo ni kuwa kuweni na msimamo na kama unataka kuachana na mtu fanya kidiplomasia tu hujui kesho.

Jumapili Njema. Tuendelee kuvaa barakoa.
 
Tujifunze.
Kuna huyu mdada alikuwa anafanya kazi ya kuuza mgahawa kwa mtu mshahara 60,000 kwa mwezi akaja akafukuzwa alihangaika sana mjini mpaka mwenye nyumba akamtimua.
Sasa katika mishe ya kimjini mjini alikutana na huyu jamaa yangu wakapendana bana. Ikumbukwe huyu rafiki yangu ana mke. Jamaa kwa vile alimpenda sana huyu binti ilibidi amfanyie mpango wa namna ya kuishi mjini. Akampangia na kumpa mtaji wa duka kubwa tu la mahitaji ya nyumbani. Just imagine alikuwa anauza kwa siku mpaka 150,000/200,000.
Baadaye akaja akafungua saloon na kanunua gari ya kutembelea bado wakiwa na jamaa. Jamaa kamsaidia sana mpaka ada ya baadhi ya wadogo zake.
Maisha yameenda ila kwa kuwa bibie sasa alikuwa anajiweza akaanza kuvutia wawekezaji. Likatokea lijamaa huko likamrubuni kuwa linataka kumuoa likamvisha pete bila jamaa yangu kujua. Basi bibie nae kaingia tamaa ya kuolewa akatemana na jamaa kwa matusi makubwa. Mimi binafsi ikabidi niende kwa bidada kumsihi aache kumtukana ameshakubali kumuacha na hata chukua chochote. Ila hakusikia aliendelea kumtukana na dharau juu za kipuuzi tu. Jamaa yangu ni mpole by nature akaamua yaishe akabadili namba japo ilikuwa kasheshe wife wake kuridhia abadili namba bila sababu.
Basi bana lijamaa lile likahamia kabisa na sikia kwa bi shosti likamrubuni wauze kiwanja wakanunue sehemu tofauti. Hilo likafanyika jamaa kachukua hela kaweka kwenye biashara yake. Baadaye tena bi dada kauza saloon hela sijui anasema alimpa jamaa aongezee kwenye kununua gari.
Duka limeshuka mdogo mdogo mpaka alikopa anamadeni makubwa hayalipiki.
Sasa hamadi anakuja kujua kuwa lile jamaa lina mke na watoto na walishafunga ndoa. Baada ya kutaka kujua zaidi akamuuliza jamaa akatokomea kumuacha bibie hana hata mia.
Sasa mi nimejitokea kazini nimechoka nikapige K-vant natoka getini nasikia mtu ananiita Guzman Guzman kugeuka ni yule bibie hee tena. Basi bana nikakaa nae nikaongea nae kama shemu wa zamani. Ananieleza analia sana. Mpaka tupo pale mwenye nyumba anamwambia kesho anafunga nyumba atoe vitu.
Mimi binafsi nikasema siwezi kukusaidia akaniomba namba ya jamaa ajaribu kumwomba msamaha. Mimi nikasema sitoi mana alibadili kwa ajili yako.
Nilichofanya nikampigia jamaa akaja pale akakutana na huyu mwanamke alikuwa hajui kama niko nae. Bi dada anatetemeka anashindwa hata kumsalimia. Jamaa nae akapiga glass ya wine akasepa hakutaka hata kumzungumzia wala kumsikiliza.
Mimi nikachomoa 5k nikampa nauli aende kwake.
Sasa leo kashinda ananisumbua sana sana nimwombee msamaha kwa jamaa na jamaa hataki kumsikia kabisa.
Inshort dada kafukuzwa kwa mwenye nyumba na vitu vimefungiwa ndani amehamia kwa rafiki yake na mdogo wake.
Sasa nikawa nawaza shida yake ilikuwa ni nini hasa hata kama alitaka kumwacha aolewe si ange-mute tu asimtukane jamaa.
Sometimes not always unaweza kuwa bibi mdogo unakaishi maisha ya furaha kuliko kutaka kuwa main chick.
Funzo ni kuwa kuweni na msimamo na kama unataka kuachana na mtu fanya kidiplomasia tu hujui kesho.
Jumapili Njema. Tuendelee kuvaa barakoa.
Kuwa na bibi mdogo nikujitafutia shida tu. Hao ni wa hit and run.
 
Tujifunze.
Kuna huyu mdada alikuwa anafanya kazi ya kuuza mgahawa kwa mtu mshahara 60,000 kwa mwezi akaja akafukuzwa alihangaika sana mjini mpaka mwenye nyumba akamtimua.
Sasa katika mishe ya kimjini mjini alikutana na huyu jamaa yangu wakapendana bana. Ikumbukwe huyu rafiki yangu ana mke. Jamaa kwa vile alimpenda sana huyu binti ilibidi amfanyie mpango wa namna ya kuishi mjini. Akampangia na kumpa mtaji wa duka kubwa tu la mahitaji ya nyumbani. Just imagine alikuwa anauza kwa siku mpaka 150,000/200,000.
Baadaye akaja akafungua saloon na kanunua gari ya kutembelea bado wakiwa na jamaa. Jamaa kamsaidia sana mpaka ada ya baadhi ya wadogo zake.
Maisha yameenda ila kwa kuwa bibie sasa alikuwa anajiweza akaanza kuvutia wawekezaji. Likatokea lijamaa huko likamrubuni kuwa linataka kumuoa likamvisha pete bila jamaa yangu kujua. Basi bibie nae kaingia tamaa ya kuolewa akatemana na jamaa kwa matusi makubwa. Mimi binafsi ikabidi niende kwa bidada kumsihi aache kumtukana ameshakubali kumuacha na hata chukua chochote. Ila hakusikia aliendelea kumtukana na dharau juu za kipuuzi tu. Jamaa yangu ni mpole by nature akaamua yaishe akabadili namba japo ilikuwa kasheshe wife wake kuridhia abadili namba bila sababu.
Basi bana lijamaa lile likahamia kabisa na sikia kwa bi shosti likamrubuni wauze kiwanja wakanunue sehemu tofauti. Hilo likafanyika jamaa kachukua hela kaweka kwenye biashara yake. Baadaye tena bi dada kauza saloon hela sijui anasema alimpa jamaa aongezee kwenye kununua gari.
Duka limeshuka mdogo mdogo mpaka alikopa anamadeni makubwa hayalipiki.
Sasa hamadi anakuja kujua kuwa lile jamaa lina mke na watoto na walishafunga ndoa. Baada ya kutaka kujua zaidi akamuuliza jamaa akatokomea kumuacha bibie hana hata mia.
Sasa mi nimejitokea kazini nimechoka nikapige K-vant natoka getini nasikia mtu ananiita Guzman Guzman kugeuka ni yule bibie hee tena. Basi bana nikakaa nae nikaongea nae kama shemu wa zamani. Ananieleza analia sana. Mpaka tupo pale mwenye nyumba anamwambia kesho anafunga nyumba atoe vitu.
Mimi binafsi nikasema siwezi kukusaidia akaniomba namba ya jamaa ajaribu kumwomba msamaha. Mimi nikasema sitoi mana alibadili kwa ajili yako.
Nilichofanya nikampigia jamaa akaja pale akakutana na huyu mwanamke alikuwa hajui kama niko nae. Bi dada anatetemeka anashindwa hata kumsalimia. Jamaa nae akapiga glass ya wine akasepa hakutaka hata kumzungumzia wala kumsikiliza.
Mimi nikachomoa 5k nikampa nauli aende kwake.
Sasa leo kashinda ananisumbua sana sana nimwombee msamaha kwa jamaa na jamaa hataki kumsikia kabisa.
Inshort dada kafukuzwa kwa mwenye nyumba na vitu vimefungiwa ndani amehamia kwa rafiki yake na mdogo wake.
Sasa nikawa nawaza shida yake ilikuwa ni nini hasa hata kama alitaka kumwacha aolewe si ange-mute tu asimtukane jamaa.
Sometimes not always unaweza kuwa bibi mdogo unakaishi maisha ya furaha kuliko kutaka kuwa main chick.
Funzo ni kuwa kuweni na msimamo na kama unataka kuachana na mtu fanya kidiplomasia tu hujui kesho.
Jumapili Njema. Tuendelee kuvaa barakoa.
Funzo kubwa sana hili kwa hawa dada zetu ambae wanadharau sana walipotoka
 
Funzo kubwa sana hili kwa hawa dada zetu ambae wanadharau sana walipotoka
Hawawezi kukuelewa hap, had damu zitoke masikion ndio hufumbuka macho! Asee wakipata vianaume vipya yan shetani anatia timu na kuwapa majibu ya kukukarahisha hadi unajiuliza huyu haya nan anamfundisha na kumwandikia huko aliko
 
Majuto ni mjukuu. Hii tabia ya wanawake kupatukana na kupadhihaki walipotoka huwa inawagharimu sana. Wakipata bwana mpya akili zinawaruka kabisa!
 
What is the kind of hell???
Tujifunze.
Kuna huyu mdada alikuwa anafanya kazi ya kuuza mgahawa kwa mtu mshahara 60,000 kwa mwezi akaja akafukuzwa alihangaika sana mjini mpaka mwenye nyumba akamtimua.
Sasa katika mishe ya kimjini mjini alikutana na huyu jamaa yangu wakapendana bana. Ikumbukwe huyu rafiki yangu ana mke. Jamaa kwa vile alimpenda sana huyu binti ilibidi amfanyie mpango wa namna ya kuishi mjini. Akampangia na kumpa mtaji wa duka kubwa tu la mahitaji ya nyumbani. Just imagine alikuwa anauza kwa siku mpaka 150,000/200,000.
Baadaye akaja akafungua saloon na kanunua gari ya kutembelea bado wakiwa na jamaa. Jamaa kamsaidia sana mpaka ada ya baadhi ya wadogo zake.
Maisha yameenda ila kwa kuwa bibie sasa alikuwa anajiweza akaanza kuvutia wawekezaji. Likatokea lijamaa huko likamrubuni kuwa linataka kumuoa likamvisha pete bila jamaa yangu kujua. Basi bibie nae kaingia tamaa ya kuolewa akatemana na jamaa kwa matusi makubwa. Mimi binafsi ikabidi niende kwa bidada kumsihi aache kumtukana ameshakubali kumuacha na hata chukua chochote. Ila hakusikia aliendelea kumtukana na dharau juu za kipuuzi tu. Jamaa yangu ni mpole by nature akaamua yaishe akabadili namba japo ilikuwa kasheshe wife wake kuridhia abadili namba bila sababu.
Basi bana lijamaa lile likahamia kabisa na sikia kwa bi shosti likamrubuni wauze kiwanja wakanunue sehemu tofauti. Hilo likafanyika jamaa kachukua hela kaweka kwenye biashara yake. Baadaye tena bi dada kauza saloon hela sijui anasema alimpa jamaa aongezee kwenye kununua gari.
Duka limeshuka mdogo mdogo mpaka alikopa anamadeni makubwa hayalipiki.
Sasa hamadi anakuja kujua kuwa lile jamaa lina mke na watoto na walishafunga ndoa. Baada ya kutaka kujua zaidi akamuuliza jamaa akatokomea kumuacha bibie hana hata mia.
Sasa mi nimejitokea kazini nimechoka nikapige K-vant natoka getini nasikia mtu ananiita Guzman Guzman kugeuka ni yule bibie hee tena. Basi bana nikakaa nae nikaongea nae kama shemu wa zamani. Ananieleza analia sana. Mpaka tupo pale mwenye nyumba anamwambia kesho anafunga nyumba atoe vitu.
Mimi binafsi nikasema siwezi kukusaidia akaniomba namba ya jamaa ajaribu kumwomba msamaha. Mimi nikasema sitoi mana alibadili kwa ajili yako.
Nilichofanya nikampigia jamaa akaja pale akakutana na huyu mwanamke alikuwa hajui kama niko nae. Bi dada anatetemeka anashindwa hata kumsalimia. Jamaa nae akapiga glass ya wine akasepa hakutaka hata kumzungumzia wala kumsikiliza.
Mimi nikachomoa 5k nikampa nauli aende kwake.
Sasa leo kashinda ananisumbua sana sana nimwombee msamaha kwa jamaa na jamaa hataki kumsikia kabisa.
Inshort dada kafukuzwa kwa mwenye nyumba na vitu vimefungiwa ndani amehamia kwa rafiki yake na mdogo wake.
Sasa nikawa nawaza shida yake ilikuwa ni nini hasa hata kama alitaka kumwacha aolewe si ange-mute tu asimtukane jamaa.
Sometimes not always unaweza kuwa bibi mdogo unakaishi maisha ya furaha kuliko kutaka kuwa main chick.
Funzo ni kuwa kuweni na msimamo na kama unataka kuachana na mtu fanya kidiplomasia tu hujui kesho.
Jumapili Njema. Tuendelee kuvaa barakoa.
 
Back
Top Bottom