Hizi curiosity hizi' Mdada hata awe anafanyaje cha msingi awe anafurahia, ukianza kutaka kujua nn kinawapelekea wao kufanya wanavyofanya utakuja jikuta sehemu ya ajabu.
Jaribu kumuuliza yule dada star ambaye alivujisha nanii yake akinyonya kidoleingekuwa vzr ungemuuliza/waulize hao unaowaona, mana mimi ni manamke lakini hili ndo kwanza nalisikia kwako
😂 😂Kuzimu au kutekwa kusikojulikana😂😂
Umefanya tafiti yako kwa wanawake wangapi ...Wakuu habari za mapumziko!
Ni mara nyingi nimeshuhudia wadada kuingiza vidole midomoni mwao wakati wa majambozi. Nilitamani kuwauliza ila moyo unasita! hebu wadau mkaribie tusaidiane kujua kuna connection gani kati ya tendo na KIDOLE mdomoni? huwa wana feel nini kufanya ivyo!?