lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Unakuta umeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na msichana na mahusiano yenu hayana hata miezi miwili lakini kutwa kucha msichana anaulizia masuala ya ndoa. Mnatakiwa mtambue kwamba ndoa si jambo la mzaha na kukurupuka, ndoa inahitaji wawili kujuana kwanza kitabia.
Hii tabia ya kuulizana "ooh baby lini unakuja kuleta barua ya posa nyumbani" bwana weeeee mbona una haraka hivyo, mambo ya ndoa hayahitaji papara.
Kama una tabia nzuri huna sababu ya kulazimisha mambo ya ndoa, ukiona binti analazimisha masuala ya ndoa jua kuna tatizo ndani yake hivyo hafai kuwa wife material. Kama nina nia ya kukuoa nitakuoa na kama sina nia hata ufanyeje hauwezi kunibadirisha mawazo yangu labda uniendee kwa sangoma.
Kingine tabia ya kuombaomba pesa kila mara mpunguze otherwise mtaishia kukimbiwa kila siku. Kupata mpenzi haimaanishi umepata ajira au kitega uchumi kwamba matatizo yako yote umalizie kwake.
Tunatambua kwamba mnamahitaji yenu kama wanawake na tunapaswa kuwatimizia ila mpunguze tamaa kwamba kila unachomuona nacho swahiba wako basi na wewe lazima uwe nacho hapana hatuwezi fika kwa staili hiyo.
Binafsi huwa napenda nimuhudumie msichana pasipo yeye kuniomba sababu najua ni jukumu langu kumpendezesha na kumtimizia mahitaji yake.
Yangu ni hayo tu
Hii tabia ya kuulizana "ooh baby lini unakuja kuleta barua ya posa nyumbani" bwana weeeee mbona una haraka hivyo, mambo ya ndoa hayahitaji papara.
Kama una tabia nzuri huna sababu ya kulazimisha mambo ya ndoa, ukiona binti analazimisha masuala ya ndoa jua kuna tatizo ndani yake hivyo hafai kuwa wife material. Kama nina nia ya kukuoa nitakuoa na kama sina nia hata ufanyeje hauwezi kunibadirisha mawazo yangu labda uniendee kwa sangoma.
Kingine tabia ya kuombaomba pesa kila mara mpunguze otherwise mtaishia kukimbiwa kila siku. Kupata mpenzi haimaanishi umepata ajira au kitega uchumi kwamba matatizo yako yote umalizie kwake.
Tunatambua kwamba mnamahitaji yenu kama wanawake na tunapaswa kuwatimizia ila mpunguze tamaa kwamba kila unachomuona nacho swahiba wako basi na wewe lazima uwe nacho hapana hatuwezi fika kwa staili hiyo.
Binafsi huwa napenda nimuhudumie msichana pasipo yeye kuniomba sababu najua ni jukumu langu kumpendezesha na kumtimizia mahitaji yake.
Yangu ni hayo tu

