Umri wake ni 27+?
Ukweli gani wa kutaka kupewa tu ila hutaki kutoa?Ukweli mtupu
Sijui etiUkweli gani wa kutaka kupewa tu ila hutaki kitoa?
Ntakuchapa kidude pa pa pa paSijui eti
Sina shaka wewe ni Mzigua...Kuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale
Wewee!Wanaume wa kiafrica na vihela vyao vya mawazo,
Wazungu ndio wanatoa hela bure?Wanaume wa kiafrica na vihela vyao vya mawazo,
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....Wazungu ndio wanatoa hela bure?
Ukila hela ya mtu na wewe toa ulichopewa huo ndio uungwana
mm huwa natoa hela baada ya kula mzigo,Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.
Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"
Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.
Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
Na nilipanga nimchape katerero hadi atoe machoziUkiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa'
mm huwa natoa hela baada ya kula mzigo,
Mnapenda wapaka poda wakati mifukoni hawana kitu kuleni hizo poda zao acheni kuchukua hela za wanaume wa kaziUkiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....
Wewe toa pesa wapaka poda wanamega kisela.Mnapenda wapaka poda wakati mifukoni hawana kitu kuleni hizo poda zao acheni kuchukua hela za wanaume wa kazi
SawaWewe toa pesa wapaka poda wanamega kisela.
mwambie aje geto kuchukua laki.
na akija kavaa pedi yake feki mwambie pedi kila mtu anaweza kuvaa unamuonyesha na wewe umevaa ya mfano.
Fafanua kidogo hapa unamaanisha nini?Wanaojifarijigi wanaanza kujizoesha kutunza familia mpo..........
Siku hizi wanaume wengi hawaringi kutoa yaani tunajifunza kuhudumia family ila sasa utata unakuja mwanamke akiwa yupo kwenye mahusiano kimaslahiFafanua kidogo hapa unamaanisha nini?