Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Katika mazingira yasiyo ya KAWAIDA, Usiku huu majira ya saa tisa polisi wamewakamata wachungaji na viongozi waandamizi wa kanisa la Ufufuo na Uzima waliokua wakimuangalia Askofu Gwajima.
Mpaka sasa Askofu Gwajima yupo peke yake hospitali.
Magari ya polisi na silaha zimewachukua viongozi wote
Tafadhali, Wakristo na wapenda haki wote tuwe macho kwa jambo hili na ubaya wa Jeshi la Polisi nchini
Dr. Ulimboka, huyo akimaliza miezi 4 duniani basi hatakufa tena