mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Kwa kumbukumbu zangu ccm ina wabunge wachungaji watatu
1. Mama Rwakatare - viti maalum
2. Asumpta Mshana - Nkenge
3 wa mbeya vijijini (nimemsahau jina).
HAWAKEMEI DHAMBI, HAWAKARIPII WALA HAWAONYI KAMA bIBILIA INAVYOSEMA.
CDM nadhani wana wawili wa karatu na iringa mjini (kama nimewakosea mtanisaidia).
kazi ya wachungaji wa CDM inajulikana ni majembe!
JE UKIAMBIWA UCHAGUE WACHUNGAJI WA KUKUONGOZA SALA YA TOBA UTAWACHAGUA WACHUNGAJI WA CHAMA GANI?
1. Mama Rwakatare - viti maalum
2. Asumpta Mshana - Nkenge
3 wa mbeya vijijini (nimemsahau jina).
HAWAKEMEI DHAMBI, HAWAKARIPII WALA HAWAONYI KAMA bIBILIA INAVYOSEMA.
CDM nadhani wana wawili wa karatu na iringa mjini (kama nimewakosea mtanisaidia).
kazi ya wachungaji wa CDM inajulikana ni majembe!
JE UKIAMBIWA UCHAGUE WACHUNGAJI WA KUKUONGOZA SALA YA TOBA UTAWACHAGUA WACHUNGAJI WA CHAMA GANI?