Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,351
Yaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.

Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.

Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
 
Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..

Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!

Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!

Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!
 
Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..

Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!

Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!

Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!
Mchungaji anakupa na vyeo kabisa ili usikose sababu ya kwenda kanisani 😅 ili akukamue vizuri. Kuna mwanamama pia aliachwa sababu ni hio hio
 
Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..

Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!

Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!

Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!
Wengine wana mambo ya kijinga mno
 
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Kuna mtu kakuita humu..sijui wajinga kama wewe hua mnashida gani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakigundua wewe ni mtu fulani,una kawadhifa fulani lazima kanisani utapewa nafasi
Wakukamue hela vizuri

Ova
Nakumbuka maza angu mkubwa alipewa uzee wa kanisa. Watakuwa walikuwa wanamvuna haswa na ukaribu aliokuwa nao na yule mchungaji sina shaka alikuwaga anamgonga kabisa.

Maana mchungaji alikuwa kitu special sana yani. Nshapeleka sana bahasha kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom