Wachumba wa mitandaoni.

Mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra

Haiwezekani! itakuwa ya kichina hiyo ungeikagua vizuri
 
husninyo, pokea like kama 100 hivi kwa jibu zuri... like siione ghafla hapa...:dance:
 
Nimekuwa nikijiuliza hivi mahusiano na mtandaoni huwa yana matunda kweli?Kama mitaani imeshindikana huku inawezekana vipi??Mashuhuda watujuze tafadhali.

Mtandao unakusaidia kukutana na mtu. Ukisha kutana naye ndiyo mtaamua kwenda kwenye hatua nyingine au la. Ila mapenzi ya mtandao pekee bila kuonana kwa macho hayana afya!
 
Yawezekana inategemeana umekutana na mtu wa aina gani. Kuna wengine wako serious zaidi sema napo ukipata applications nyingi zitakuchanganya usijue hata ubavu wa ubavu wako ni nani?? Weka maombi na Mungu atakupa your better half.
 
Mtandaoni,mtaani au popote pale mtakapokutania sio kigezo cha kuona huyu yupo commited na huyu sio. Kilicho muhimu je hao wawili wana nia zilizosawa ktk kuanzisha safar yao ya mahusiano. Na hivi mioyo yetu sio kioo kusema utaona nia ya mtu hapo ndo tabu. Kikubwa ni kuomba Mungu atupe macho ya rohoni
 
Mahusiano ni yale yale kilichobadilikani kijiwe tu cha kukutania...

Na kijiwe cha kutungulia hilo tunda,humu kitungulio kikiwa pm kule mtaani mdomo ila wahusika ndio walewale
 
Wakati mwingine nayo yana mautamu yake vile vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…