Wachina Wanawinda Ndani ya Serengeti

Wachina Wanawinda Ndani ya Serengeti

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi
 
ndio maana yule prezdaa wao baada ya kuchaguliwa uraisi safari yake ya kwanza ni bongo .
kweli serekali ya haijali watu wake kabis
hivi sisi tumewekeza nini huko kwao??
au ndio wanatumia udhaifu wa Marmo kutuchinjia baharini?
 
Raisi aliyeingia ikulu kwa wino atatugharimu sana. Mimi sijawahi ona raisi anayeongoza nchi wananchi wake zaidi ya 3/4 wanamchukia.
 
Raisi aliyeingia ikulu kwa
wino atatugharimu sana. Mimi sijawahi ona raisi anayeongoza nchi
wananchi wake zaidi ya 3/4 wanamchukia.

umeonaee,huyu rais ana roho ngumu sana!
 
Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi

Safi sana Gesi-Mtwara, huu ndio uzalendo tunaoutaka. kufichua wote wanaoiba urithi wa watoto na wajukuu zetu. natumaini wahusika watalishughulikia hili suala kulingana na ulivyolileta.
 
Last edited by a moderator:
Wachina majangili,wanavitambulisho vya kura vya tanzania,wanaiba umeme,wanajenga barabara feki,wamepandisha bei za fremu za biashara kkoo mpaka tsh 2m kwa mwezi,wanatumaliza na pikipiki zao,bidhaa feki
 
Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi

Please! usiseme sana hao ni rafiki zetu wa kihistoria.
 
speechless..serikali na Tanapa wamelala usingizi wa pono


Wapi weweee? Serikali kulala ni kujitakia tu wenyewe. Hawa wala hawajalala na usishangae ni wao (TANAPA) wenyewe ndiyo wanaoshirikiana na hawa wachina. Yaani hii nchi bwana na diyo maana watu (majirani zetu) wanatutukana kila kukicha kwa ujinga usio na maana.
 
Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi

mkuu gesi waache wawinde watakavyo sababu hayo ndo malipo ya ule mkataba wa siri uliotiwa saini beijing mtoto wa kwanza wa nchi hii alipokamatwa na zigo la bwimbwi hukoo uchina. na majuzi mhe weka mbali na tembo alienda kukazia mkataba zaidi kwa kwenda kuwaelekeza maeneo ya kuwinda. kwa hiyo mkuu wawinde hata wanyama wote wa nchi hii maana uwezo wanao.
 
Tusitegemee wachina katika maendeleo ya taifa letu, wao wenyewe ni njaa kali kama sisi na ndio maana wanajazana huku kwetu kuiba mali zetu, wachina hawatufai
 
Only in Tz Kila mtu mweupe ni muwekezaji!
 
Raisi aliyeingia ikulu kwa wino atatugharimu sana. Mimi sijawahi ona raisi anayeongoza nchi wananchi wake zaidi ya 3/4 wanamchukia.
hiyo robo 3 ni ya wapi? yaani ukimchukia wewe basi imekuwa robo 3? wewe kweli taahira na mirembe panakuhusu.
 
Ndio faida ya mikataba aliyoingia rais wao,
 
..Ahh mwenye biashara si alikuwa huko juzi juzi kumpa mtu lanchi !! Kinana ameshavuta zake sasa imebaki kazi moja tuuu hao unaowaita majangili ndiyo walikuwa wenyeji wa kinana na timu yake ya CCM kule kwao...

Tena kudhiirisha wameshavuta, inasemekana wameshinikiza mkulu wa hapo mchapa kazi sana-mpare mmoja- atolewe na sasa wameweka kijana wao ili wavune vizuri sana !! Yaani tungeomba dogo wa korea watume midude yake kufanyia majaribio hapo ili tuanze upya..... !!

Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi
 
Watanzania!!!!! Tuache upole na upuuzi unatumaliza sisi wenyewe. Huyu kiwete na kundi lake wametuuza tunaangalia tena kwa wachina? Yaani inatia kinyaa kwa kweli! Yaani basi tu nina hasira kali natamani ningeawa.......Wanavuna haraka haraka kabla hakujakucha. Tukiamka tutakut ahatuna kilichobaki.
 
Hiyo ni kweli, i was there for my research i heard a lot about that and how chinesse do that deal without government to realise. Soon i will come up with report.
 
Guys acheni ushindani wa kijinga. Huu ni ushindani wa kujinga kwa sababu kila Mchina atakalolifanya anaonekana kama ni adui bila kujiuliza nani kwenye dunia hii ni rafiki yetu? Tunasahau kwamba huyo tunayemuita kama baba wa taifa hajawai kuwagusa au kuwashutumu Wachina. Bangi gani mliovuta mpaka mkaanza kuwaona Wachina ni maadui zetu?

Natanguliza shukurani
 
Guys acheni ushindani wa kijinga. Huu ni ushindani wa kujinga kwa sababu kila Mchina atakalolifanya anaonekana kama ni adui bila kujiuliza nani kwenye dunia hii ni rafiki yetu? Tunasahau kwamba huyo tunayemuita kama baba wa taifa hajawai kuwagusa au kuwashutumu Wachina. Bangi gani mliovuta mpaka mkaanza kuwaona Wachina ni maadui zetu?

Natanguliza shukurani

Hata hujielewi,watu wanazungumzia jinsi raslimali zetu zinavyoteketezwa wewe unasema ushindani???!!!Utakuwa mmoja wao siyo bure
 
Back
Top Bottom