Wamejifunza wakati wa matuta, wapigaji wote wapige upande mmoja tu hata kama kipa atadaka.Ukosefu wa uzalendo
Kushiba makande
Kutopenda kujituma na uvivu na kuwaza ngono ?
Au
Akili ndogo au ni laana ya Mwenge?
Aibu kwenu
Cabo Verde ina watu laki 5 (591,000)Ukosefu wa uzalendo
Kushiba makande
Kutopenda kujituma na uvivu na kuwaza ngono ?
Au
Akili ndogo au ni laana ya Mwenge?
Aibu kwenu
Morocco, Algeria, Tunisia, Egypt na Cameroun nao wajifunze kwa nani? Nao wameshiba makande, hawapendi kujifunza na ni wavivu!?Ukosefu wa uzalendo
Kushiba makande
Kutopenda kujituma na uvivu na kuwaza ngono ?
Au
Akili ndogo au ni laana ya Mwenge?
Aibu kwenu
Wahamasishaji wa Algeria ni nani na nani?Cabo Verde ina watu laki 5 (591,000)
Tanzania ina watu milioni 60+
Nb: Wahamasishaji wa timu ya Taifa ya Tz ni Mwijaku na Babalevo, Steve Nyerere nk ( msisitizo)
GENTAMAISAINI NA NALIA NGWENA.Wahamasishaji wa Algeria ni nani na nani?
Hao wote uliowataja hapo juu wameshacheza world soccer cup, na Morocco 🇲🇦 chupu chupu wangeandaa world cup, Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu,wachezaji wetu hawathamini badge ya taifaMorocco, Algeria, Tunisia, Egypt na Cameroun nao wajifunze kwa nani? Nao wameshiba makande, hawapendi kujifunza na ni wavivu!?
Kabla ya kushabikia football jitahidi kuujua kwanza mchezo wenyewe.
Football iheshimiwe.