Wachezaji hawa nao wana medali za dhahabu za UEFA Champions League

Kuna wachezaji mashuhuri ambao hawajawahi kushinda Uefa Champions League (UCL). Mfano wao ni kama Buffon, Zlatan, Ronaldo De Lima, Michael Ballack, Michael Owen nk

Halafu kuna wachezaji ambao si maarufu lakini wameshinda medali za UCL. Leo tujikumbushe orodha ya wachezaji hao.
Mimi naanza na huyu Jeremy Mathieu.

Cc: FORTALEZA
Michale Owen alipishana nayo kama alivyopishana nayo Coutinho
 
Back
Top Bottom