Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,017
Kuna wachezaji mashuhuri ambao hawajawahi kushinda Uefa Champions League (UCL). Mfano wao ni kama Buffon, Zlatan, Ronaldo De Lima, Michael Ballack, Michael Owen nk
Halafu kuna wachezaji ambao si maarufu lakini wameshinda medali za UCL. Leo tujikumbushe orodha ya wachezaji hao.
Mimi naanza na huyu Jeremy Mathieu.
Cc: FORTALEZA
Halafu kuna wachezaji ambao si maarufu lakini wameshinda medali za UCL. Leo tujikumbushe orodha ya wachezaji hao.
Mimi naanza na huyu Jeremy Mathieu.
Cc: FORTALEZA