eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,179
Unataka kusema nini funguka uelewekeHiyo fainali ya 1970 shujaa wa Brazil alikuwa Jaizinho. Alifunga goli kila mechi. Pele alizungukwa na timu bora sana.
Hakuwa bora au
Unataka kusema nini funguka uelewekeHiyo fainali ya 1970 shujaa wa Brazil alikuwa Jaizinho. Alifunga goli kila mechi. Pele alizungukwa na timu bora sana.
Jaizinho alikuwa bora lakini kwa pelle ni habari nyingineHiyo fainali ya 1970 shujaa wa Brazil alikuwa Jaizinho. Alifunga goli kila mechi. Pele alizungukwa na timu bora sana.
Jaizinho alikuwa bora lakini kwa pelle ni habari nyingine
Kwa wabrazili akitoka pelle anaefuata ni garincha mchawi mwingine wa kasi na chenga
Mwandike Pele na sio Pelle,
Jamaa anashindwa kujua mchezaji wa bora wa wakati wote na mchezaji bora wa msimu, Jaizinho alicheza vizuri sana kwenye WC ya 1970, lakini haku sio kwamba Pele alichemsha
Angalia uchawi wake aliofanya miaka 50 iliyopita ambayo sasa ndio inarudiwa,
Weka na msisitizo refa alikuwa hapulizi filimbi wala kutoa kadiUzi safi sana mkuu,
Sasa kwa wale wanaombeza kua alikua hapati mshikemshike wa mabeki hebu tazama hii hapa chini:
Pele ni fundi sanaUzi safi sana mkuu,
Sasa kwa wale wanaombeza kua alikua hapati mshikemshike wa mabeki hebu tazama hii hapa chini:
Hizi nyingine tunazoona ni photocopy zake miaka 50 iliyopita
Pele alikua anajuaNafikiri walimsoma kama kitabu then wakayafanyia kazi
Hatari sana
N
Japo wanafanya lakini pele alivifanya kwa njia ya kushangaza sana
Mwandike Pele na sio Pelle,
Jamaa anashindwa kujua mchezaji wa bora wa wakati wote na mchezaji bora wa msimu, Jaizinho alicheza vizuri sana kwenye WC ya 1970, lakini haku sio kwamba Pele alichemsha
Angalia uchawi wake aliofanya miaka 50 iliyopita ambayo sasa ndio inarudiwa,
Naunga mkono maana ndo nimemuona hawa akina Pelle na Maradona sikuwaonaLionel Messi Ndio Mchezaji Bora katika Historia ya Football
Sasa hivi kuna offside lakini bado magoli ya offside yanafungwaEnzi hamna off-side
Mtazamo wako tunauheshimuLionel Messi Ndio Mchezaji Bora katika Historia ya Football
Sio mpaka umuone tafuta hata vidio zakeNaunga mkono maana ndo nimemuona hawa akina Pelle na Maradona sikuwaona
Sent using Jamii Forums mobile app
![]()
Amecheza fainaly nne za kombe la dunia
Ameisaidia Brazily kutwaa kombe la dunia mara 3 katika historia yake
Amecheza finaly hizo za kombe la dunia kwa kiwango cha juu mara zote nne
Ni mchezaji anaeshikilia rekodi ya kufunga katika kombe la dunia akiwa na miaka 17 tu wakati akiisaidia Brazil kutwaa kombe hilo 1958 huko sweeden huku akitupia bao mbili mwenyewe
Fifa wamemworodhesha kama mchezaji namba 1 katika historia ya football
Alikuwa na kasi ya kimbunga
Chenga za maudhi na matobo
Alifunga bao zisizo na idadi mpaka leo watu hubishana zipi za mashindano na zisizo za mashindano
Mchezaji ambaye alikuwa anakula kwanja za kutosha na refa hapulizi filimbi
Akitolewa nje kutibiwa mashabiki wa Brazil walikuwa wakilia
Akirudi ni machozi ya furaha
Fainaly zake za kukumbukwa kwa pelle na maajabu aliyoyafanya ni 1970 ambazo ndio fainali zake za mwisho ambapo Brazil walitwaa kombe hilo kwa kishindo
Kifupi jibu tosha ila kama mahaba waache watu wafanye kiukweli edson alikuwa kifaa na mipira ya waqt huo muamuzi hawalindi nyota yaani mpaka mtu apewe kadi ya njano ilikuwa kazi ubabe mwingi undava lakini bado nyota huyu alitamba kwangu Pele alikuwa mchezaji bora sana na mpaka leo ila siwazuii wengine kuona kwa mtizamo tofauti na wangu.