Wachezaji 100 bora wa muda wote watajwa

Jaizinho alikuwa bora lakini kwa pelle ni habari nyingine

Kwa wabrazili akitoka pelle anaefuata ni garincha mchawi mwingine wa kasi na chenga

Mwandike Pele na sio Pelle,
Jamaa anashindwa kujua mchezaji bora wa wakati wote na mchezaji bora wa msimu, Jaizinho alicheza vizuri sana kwenye WC ya 1970, lakini sio kwamba Pele alichemsha

Angalia uchawi wake aliofanya miaka 50 iliyopita ambayo sasa ndio unarudiwa,

 
Mwandike Pele na sio Pelle,
Jamaa anashindwa kujua mchezaji wa bora wa wakati wote na mchezaji bora wa msimu, Jaizinho alicheza vizuri sana kwenye WC ya 1970, lakini haku sio kwamba Pele alichemsha

Angalia uchawi wake aliofanya miaka 50 iliyopita ambayo sasa ndio inarudiwa,


Nafikiri walimsoma kama kitabu then wakayafanyia kazi
Hatari sana
N
Japo wanafanya lakini pele alivifanya kwa njia ya kushangaza sana
 
Mwandike Pele na sio Pelle,
Jamaa anashindwa kujua mchezaji wa bora wa wakati wote na mchezaji bora wa msimu, Jaizinho alicheza vizuri sana kwenye WC ya 1970, lakini haku sio kwamba Pele alichemsha

Angalia uchawi wake aliofanya miaka 50 iliyopita ambayo sasa ndio inarudiwa,


Kifupi jibu tosha ila kama mahaba waache watu wafanye kiukweli edson alikuwa kifaa na mipira ya waqt huo muamuzi hawalindi nyota yaani mpaka mtu apewe kadi ya njano ilikuwa kazi ubabe mwingi undava lakini bado nyota huyu alitamba kwangu Pele alikuwa mchezaji bora sana na mpaka leo ila siwazuii wengine kuona kwa mtizamo tofauti na wangu.
 
2b361afd139070608b55b3238f652f56.jpg


Amecheza fainaly nne za kombe la dunia

Ameisaidia Brazily kutwaa kombe la dunia mara 3 katika historia yake

Amecheza finaly hizo za kombe la dunia kwa kiwango cha juu mara zote nne

Ni mchezaji anaeshikilia rekodi ya kufunga katika kombe la dunia akiwa na miaka 17 tu wakati akiisaidia Brazil kutwaa kombe hilo 1958 huko sweeden huku akitupia bao mbili mwenyewe

Fifa wamemworodhesha kama mchezaji namba 1 katika historia ya football

Alikuwa na kasi ya kimbunga
Chenga za maudhi na matobo
Alifunga bao zisizo na idadi mpaka leo watu hubishana zipi za mashindano na zisizo za mashindano

Mchezaji ambaye alikuwa anakula kwanja za kutosha na refa hapulizi filimbi

Akitolewa nje kutibiwa mashabiki wa Brazil walikuwa wakilia
Akirudi ni machozi ya furaha

Fainaly zake za kukumbukwa kwa pelle na maajabu aliyoyafanya ni 1970 ambazo ndio fainali zake za mwisho ambapo Brazil walitwaa kombe hilo kwa kishindo
e5a1353aa5bd97e2438c23f47e88eee4.jpg

Labda kama huyo juu ni mcheza tenisi
 
Kifupi jibu tosha ila kama mahaba waache watu wafanye kiukweli edson alikuwa kifaa na mipira ya waqt huo muamuzi hawalindi nyota yaani mpaka mtu apewe kadi ya njano ilikuwa kazi ubabe mwingi undava lakini bado nyota huyu alitamba kwangu Pele alikuwa mchezaji bora sana na mpaka leo ila siwazuii wengine kuona kwa mtizamo tofauti na wangu.

Kaka Pele kacheza mpira wakati Dunia imejaa ubaguzi mkubwa kwa watu weusi, sasa Wazungu na jeuri zao na dharau zao kwa Watu Weusi lakini walimkubali Pele na walimtukuza, hiyo ni hali halisi kabisa kuwa jamaa alikuwa ni mashine
 
Back
Top Bottom