Wacheche sana dunia hii.

Wacheche sana dunia hii.

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,997
Reaction score
2,577
picha Inajieleza
 

Attachments

  • 1442584327935.jpg
    1442584327935.jpg
    72.9 KB · Views: 1,457
GENTAMYCINE kweli Mungu ni fundi hilo halina ubishi.. Ila wanaume wa hivyo tupo wachache sana.
 
Last edited by a moderator:
naona kuna watu hawajaelewa hapa..kweli mkuu ni wachache hasa kama picha inavyojieleza
 
Mod Rekebisha Hiyo Title Ya Thread.Ili Iendane Na Maudhui Ya Thread.
 
Kwa mzungu ukilifanya hilo ambalo wengi hawawezi jua unafungwa kwa kubaka
 
Kwa kweli inataka moyo, jamaa anajikaza kisabuni
 
yataka moyo sana ns ujasiri

Kitu cha kawaida sana kama ni my wife wako, mara nyingi hata wakikaa uchi huwaga tunawaomba wakavae angalau kanga ili kuondoa mikosi ya kupishana na hela. Kawaida sana kwa wanandoa yakhe
 
Kitu cha kawaida sana kama ni my wife wako, mara nyingi hata wakikaa uchi huwaga tunawaomba wakavae angalau kanga ili kuondoa mikosi ya kupishana na hela. Kawaida sana kwa wanandoa yakhe

hahahahaha ni kweli ila hiyo mitego lakini
 
Back
Top Bottom