Kenge wa dondo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 263
- 169
Nilikuwa kijiji flan kanda ya ziwa, nilijaribu kulala bila kuzima taa lakin hao vindikima walizima taa!
ila usije ukaweka wimbo ule wa mbelee kwa mbeleee!! atakachokufanyia hatoamini!!Dawa ya mchawi ni kufungulia sauti kubwa ya redio hata hakugusi ......kuhusiana na mwanga hakuna kitu wengine huwa wanakabwa mchana kweupeeee
Mnajaza server ya JF pasi na sababu, ipo humu thread ya Mtu Mzito imechambuwa kila kitu kuhusu uganga na uchawi na kuna Q&A.Leo wakat niko kijiwen yalizuka mabishano kuusu mambo ya kichawi... watu walikuwa wanabishana... kwamba ukilala bila ya kuzima taa basi mchawi hakugusi...je wakuu kuna ukweli apo?
Hahahahahahahahahaha hapa kaz tuNilikuwa kijiji flan kanda ya ziwa, nilijaribu kulala bila kuzima taa lakin hao vindikima walizima taa!
Hivi mganga wa ukweli huwa anatanguliza pesa au badae mganga wa ukweli utamjuwa vipi sababu wengi matapeliWasenge hiyo haiwapi tabu wanazima wenyewe kazi inaendelea
badala ya kukaaa vijiwen kudiskasi ujinga ungeuza hata kahawa na kashata alooLeo wakat niko kijiwen yalizuka mabishano kuusu mambo ya kichawi... watu walikuwa wanabishana... kwamba ukilala bila ya kuzima taa basi mchawi hakugusi...je wakuu kuna ukweli apo?