Wachawi mliopo JF nitoleeni ufafanuzi wa hiki kilichonitokea usiku.

Sawa mkuu ila ngoja nikurekebishe kidogo umeongoka na sio kuokoka...
Huwezi kuurekebisha wokovu wangu mimi nimeokoka, wala sibahatishi tena sijakaririshwa na dhehebu wala mchungaji wangu kwamujibu wa biblia rejea injiri ya yohana sura ya 5;24 na yohana 10:10.na waraka wa mtume Paulo kwa wakorosai 1:13 utaelewa nini namaanisha, habari ndiyo hiyo sikurazimishi kuniamini .bat ukitaka usarama amini maneno haya nawe utaokoka.
 
Sawa mkuu ila ngoja nikurekebishe kidogo umeongoka na sio kuokoka...
Huwezi kuurekebisha wokovu wangu mimi nimeokoka, wala sibahatishi tena sijakaririshwa na dhehebu wala mchungaji wangu kwamujibu wa biblia rejea injiri ya yohana sura ya 5;24 na yohana 10:10.na waraka wa mtume Paulo kwa wakorosai 1:13 utaelewa nini namaanisha, habari ndiyo hiyo sikurazimishi kuniamini .bat ukitaka usarama amini maneno haya nawe utaokoka.
 
Hakuna uchawi hapo ila uliulalia mshipa mkubwa unaoingiza damu katika moyo hivyo kuufanya moyo kupungukiwa damu katika chemba zote hali ulio kua imekutokea ni shida ya ubongo na moyo kitokupata damu ya kutosha
 
Asanteni kwa mialiko.. Huyo alikuwa ni mwanga yuko kazini na ulimkuta kwenye hatua ya kukuzimua.. Ndio maana ukapata fahamu kidogo na huyo mwanga hatoki mbali mnaishi naye jirani ama nyumba moja
Pia epuka kulala kifudifudi sio mlalo mzuri sana jifunze kulala mshazari
Mahazari unalalaje Mkuu... Nalaliaga tumbo hata Mimi naamkaga nimechoka sana
 
Asanteni kwa mialiko.. Huyo alikuwa ni mwanga yuko kazini na ulimkuta kwenye hatua ya kukuzimua.. Ndio maana ukapata fahamu kidogo na huyo mwanga hatoki mbali mnaishi naye jirani ama nyumba moja
Pia epuka kulala kifudifudi sio mlalo mzuri sana jifunze kulala mshazari
Mshana Jr upo vizuri mkuu
 
Kwanza poleni na majukumu ya kusaka ugali wakuu.JF ni mtandao unaotukusanya watanzania na wasio watanzania wenye kazi,sifa,itikadi,fikra,mitazamo na karba tofauti tofauti.Humu kuna walimu,wahandisi,Madaktari,Machangudoa,Wanasheria,Wanasiasa,Wadananda,Mapaparazi etc

Leo ninawaomba wachawi wote mliopo humu JF mnisaidie kunitolea ufafanuzi wa kilichonitokea leo usiku.

Mimi ninasoma chuo fulani huku Tanga nimepanga chumba kimoja katika nyumba ambayo ninaishi na baba mwenye nyumba na familia yake .Leo usiku nikiwa nimelala sikujua ilikiwa ni saa ngapi.Nikiwa kama niko usingizini nilihisi kama kuna mtu kalala pembeni yangu,nikashituka nikanyoosha mkono nikajikuta namushika sehemu za makalio yalikuwa kama ya mwanamke(japo sina uhakika).Nilipomshika akawa kama kasogea mbele kidogo,nilikuwa nimelala kifudifudi sekunde chache baadae ikawa kama kuna mikono ipo shingoni mwangu inanigandamiza kwenye godoro,Pia kuna kama moto fulani ambao hauunguzi sana unanichoma maeneo ya kuanzia kichwani hadi mgongoni.

Kilichonishangaza zaidi viungo vyote vya mwili vilikuwa havina nguvu nikijaribu kuitoa ile mikono ya Yule mtu,mikono yangu haiwezi hata kunyanyuka.Nikijaribu kugeuka mwili hauna nguvu kama umegandishwa.Miguu pia hainyanyuki.Nikitaka kuongea mdomo nao hauwezi.Ni macho tu ndio yalikuwa yanafumbua.Nilikuwa nikifikiria labda niko ndotoni lakini najiona sipo ndotoni kabisa ni kitu real.Baada ya dakika kadhaa nilishituka yaani hata sielewi vizuri nikajikuta nipo katika hali ya kawaida tu.

Nawaulizeni nyinyi wachawi je hivyo ndivyo mnavyoroga na ndivyo mnavyofanya michezo yenu au ni mawenge yangu tu.

Wachawi karibu.



nimecheka sana mkuu ujue wewe sio mdadisi ulipopapasa yake makalio ungezunguka na mkono hadi uguse nyeti zake bila shaka mngemalizana haja za mwili kulingana na matokeo mguso kwenye nyeti.

Pole sana mkuu
 
Hiyo hali hutokea pale mwili unapokua umelala lakini akili/ubongo unakua umeamka...

Ni hali ya kawaida kumtokea binadamu, kama vile kutembea ukiwa usingizini...

Cc: mahondaw
Well said...Jamaa itabidi ajaribu kuangalia documentary fulani hivi inayoitwa "where do we go when we go to sleep"...Atapata majibu yote, hakuna uchawi mkuu...
 
Hakuna uchawi hapo ila uliulalia mshipa mkubwa unaoingiza damu katika moyo hivyo kuufanya moyo kupungukiwa damu katika chemba zote hali ulio kua imekutokea ni shida ya ubongo na moyo kitokupata damu ya kutosha
Angekufa angeendelea kulalia huo mshipa?
 
Asanteni kwa mialiko.. Huyo alikuwa ni mwanga yuko kazini na ulimkuta kwenye hatua ya kukuzimua.. Ndio maana ukapata fahamu kidogo na huyo mwanga hatoki mbali mnaishi naye jirani ama nyumba moja
Pia epuka kulala kifudifudi sio mlalo mzuri sana jifunze kulala mshazari
Mkuu,Nimekupata vyema lakini sijakuelewa hapo kwenye "Kuzimua" maana yake hiyo ni nini
 

nimecheka sana mkuu ujue wewe sio mdadisi ulipopapasa yake makalio ungezunguka na mkono hadi uguse nyeti zake bila shaka mngemalizana haja za mwili kulingana na matokeo mguso kwenye nyeti.

Pole sana mkuu
Ngoja nione kama na Leo atakuja nimpe blow job ,kesho ntaleta mrejesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom