Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Huwezi kuurekebisha wokovu wangu mimi nimeokoka, wala sibahatishi tena sijakaririshwa na dhehebu wala mchungaji wangu kwamujibu wa biblia rejea injiri ya yohana sura ya 5;24 na yohana 10:10.na waraka wa mtume Paulo kwa wakorosai 1:13 utaelewa nini namaanisha, habari ndiyo hiyo sikurazimishi kuniamini .bat ukitaka usarama amini maneno haya nawe utaokoka.Sawa mkuu ila ngoja nikurekebishe kidogo umeongoka na sio kuokoka...