Wachambuzi huyu msajili amepona??

Wachambuzi huyu msajili amepona??

Barua ya Tarehe 29/05/2016 inaijibu barua ya 04/05/2017.

Only in Tanzania
 
Tareh 29 may 2016 ndo alijibu barua ya barick gold ilioandikwa tareh 4 may 2016. Au mimi ndo sijaelewa!
Ndio tatizo la kufoji, inaonekana barua imeandikwa mwaka huu. haiwezekani may 2016 ikaandikwa may 2017,ingekuwa may 2015 ningeelewa kiaina kwakuwa mwaka 2016 unakuwa haujazoeleka sana katika vichwa vya watu
 
Barua ya Mei 29, 2016 inajibu barua ya Mei 04, 2017! Maajabu! Huyu aliyeiandika nadhani ana uwezo wa kuona "mambo yajayo; ya nyakati za mwisho".
yaa bord ya acasia lazima idili na huyu md kilaza hata mtoto wa form two hawezi kufanya blandaz kiasi hicho
 
Halafu aliyeleta huu utaratibu wa kubadilisha majina ya kampuni ili kukwepa kodi atafutwe ili Tumpeleke uwanja wa uhuru tumpige mawe mpaka ageuke vumbi

Yupo Masasi anasubiri msimu wa korosho uanze.
 
Tareh 29 may 2016 ndo alijibu barua ya barick gold ilioandikwa tareh 4 may 2016. Au mimi ndo sijaelewa!
Kweli hujaelewa,alijibu barua iliyoandikwa 4.5.2017 tarehe 29.5.2016.
 
Back
Top Bottom