Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga
Miaka mitano kwani mingi...? Lakini pia psychologicaly naona kuna kitu kinakusumbua mpaka kufikaia kuandika hivi...lakini najua huwaezi kukisema...
una matatizo na ndoa yako binafsi ila unataka kuhalalisha tatizo lako lipo kwa wengine pia,. Acha kumbwela omba usaidiwe,.
Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga
ni mitano hata pesa bado hamjazijaza!subl muwe na magar matano uone.
Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga
Kumekuwa na mtazamo kwamba wachaga ni watu wasiojua mapenzi na wao wameweka pesa mbele mfano mwanamke yupo tayari kumuua mumewe ili arithi mali,hilo jambo sio kweli sababu mimi nimeoa mchaga na tuna miaka mitano katika ndoa na tunaishi vizuri na mke wangu kwahiyo naomba tusiwadharau wachaga
kwa asilimia 90 wachaga wanajua kutunza ndoa na familia kwa ujumla.Hakuna kuuza sura....
Wachaga na maendeleo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hawajui mapenzi. Kazi kupiga kelele tu na kusema "Yesu Maria" hehehe. Labda ka mkeo ulimfundisha au alijifinza kwa wajanja. Kuhusu mali mtu asikudanganye, akili ya mwanamke wa kichaga si kama ya mwanamke wa kigogo, wachaga kurudisha heshima nyumbani kwao ni lazima, ukionekana unazuia lazima akuue, ila ukiwa laini kukubaliana na vitu kama kujenga n.k kwao utapeta, otherwise be prepared bro
Acha hizo miaka 5tu mbona bado heehhe msukure