Rebo Tz
Senior Member
- Sep 26, 2016
- 169
- 125
Wadau mimi naomba kuuliza...,
Hivi eti kuna muingiliano gani wa baiskeli za phonex a.k.a anita na biashara kwa wachaga...
Maana asilimia kubwa ya wachaga ninaowajua hapa town wanabaskel la anita hata kama awe na duka dogo au kubwa...,pia hata kama anapikipiki lazima anita liwepo pembeni...,sijui n utamaduni au vipi?