Kei ndio nini mkuu?Hapo yule mporipori ana raha hadi kwenye Kei
hahahahahahahaaa acha kabisa, asikwambie mtu. Ukiona mtu hakunwi na mziki au haliwaziwi na mziki basi ujue kumkuna huyo mtu au kumliwaza huyo mtu ni kazi zaidi ya kupiga makasia.
I love music, I love dancing and I enjoy both....... deep in music....acha kabisa.
Ha ha ha! Mkuu inaonesha unahusudu sana mchezo wa kikubwa!
Huyo ni Paul Mlugomzee mwenye upara anacheza shoki hataaarr
Hio ilikuwa ni tarehe 8/8/2016 kwenye uwanja wa nane nane wa John Mwakangale - Mbeya.Hahaha hiyo ilikuwa siku ya kuupokea Mwenge Mkoa wa Songwe ktk wilaya ya Songwe Mkwajuni ilikuwa trh1/6/2016