huo umasai ni moja ya sababu ya kunigandaNdiyo maana dada yangu siku hizi anatabia mbofu mbofu kumbe mmeambukizana eeh. Dada yangu umeshindwa kumpa mimba umempa maneno leo mmasai anaongea kama mdaresilamu....
Haya sibishanagi na mashemeji ila ukiendelea kunichokonoa mahari yako tutairudisha hatutaki mashemeji wa hovyo hovyo sis wafoji vyetihuo umasai ni moja ya sababu ya kuniganda
ukiona dada kaolewa jua kanogewa huyoHaya sibishanagi na mashemeji ila ukiendelea kunichokonoa mahari yako tutairudisha hatutaki mashemeji wa hovyo hovyo sis wafoji vyeti
Ndio maana nilikuwa nashangaa...kumbe sometimes ni hako kabinti ndio kanaposti humu! 🙂🙂🙂Mapenzi uchizi... mimi kuna katoto nimekapenda nimekapa hadi password ya JF. Kapost kapendacho
Post hata pumba mama au mtama nitadonoa tu.
Weeweee
Ulishawahi kuchapwa kofi la kalio mpaka ukadondokea jukwaa la siasa?
Haha.. eeeh mkuu huwa kanajinafasiNdio maana nilikuwa nashangaa...kumbe sometimes ni hako kabinti ndio kanaposti humu! 🙂🙂🙂
Haha.. eeeh mkuu huwa kanajinafasi
Siku zako zinahesabika wewe
Kwann zisihesabike thatha?!Siku zako zinahesabika wewe
NilizisimamishaKwann zisihesabike thatha?!
I can't get my head around this......hivi visa hutokea..nina rafiki yangu mkenya..kazi yake uanajeshi..kwa vile wakati mwingi alikuwa mipakani kikazi akawa amemfungulia bibiye joint account..kumbe mke akawa kazi kutumia zile hela kwa manufaa yake bila kumjuza mumewe..mwanamme aliporejea akapata hamna chochote cha maana kwenye akaunti ila hangemtimua mkewe kwani hela zote keshawekeza kwenye miradi yake hivyo ingekuwa hasara kubwa kumtimua..
Kua uyaoneafu weweeee.....
Nitarudi mtu mwingine asi comment tena ..sawa!umeipenda ee...?!
Thawaaa babaaaNitarudi mtu mwingine asi comment tena ..sawa!