Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,157
- 166,114
- Thread starter
-
- #61
..hii usikute ulikutokea@Bujibuji
faidi sana!!!!!111
nimekusameheeKipaji Halisi samahani kwa kutoa siri zako hadharini, unajua mi mwenzako ni mlemavu, mdomo wangu hauna breki, wala kifua changu hakikufundishwa kutunza siri.
Bujibuji unakosea kutumia mfano wa faiza Fox huyo ni zaidi ya mzazi wako kiumri hawezi kuzaa tena yuko kwenye menopause i.e (the time in a woman's life when menstruation diminishes and ceases, usually between the ages of 45 and 50). cc. Yericko Nyerere1. Umepatwa na ugonjwa wa zinaa, unaulizwa ilikuwaje umeukwaa wakati ulionekana ukinunua kondom??? Jibu,..... Kondom ilipasuka, (moyoni unajua fika kuwa kondom uliisunda chini ya mto)
2. Umempa demu wako FaizaFoxy, mimba ya bila kutarajia, ukiulizwa, unasingizia condom, kondom ilikuwa inanipwaya ikanivuka katikati ya majamboz.
Haya ndio maisha yetu watumwa wa ngono zembe.
CC:-
Kaizer, Arushaone, Asprin, Madame B, lara 1, LiverpoolFC, Boflo, watu8, Mwita Maranya, mwaJ, Kipaji Halisi, Mtambuzi, ndyoko, NGULI, mwekundu, Mamndenyi, chama
Hahaha wakati lilikuwa linakata mauno kama feni.
we mzee una mzmbo sana
NGULI, wewe una kakitu na FaizaFoxy, je umeanza lini kuwa msemaji wake wa mambo yake ya ndani?Bujibuji unakosea kutumia mfano wa faiza Fox huyo ni zaidi ya mzazi wako kiumri hawezi kuzaa tena yuko kwenye menopause i.e (the time in a woman's life when menstruation diminishes and ceases, usually between the ages of 45 and 50). cc. Yericko Nyerere
Bujibuji unakosea kutumia mfano wa faiza Fox huyo ni zaidi ya mzazi wako kiumri hawezi kuzaa tena yuko kwenye menopause i.e (the time in a woman's life when menstruation diminishes and ceases, usually between the ages of 45 and 50). cc. Yericko Nyerere
Bujibuji huyo NGULI asikusumbuwe nilimfanyia analysis ya maradhi yake yanayomsubuwa ya kudhani kuwa Kikwete ni babake mzazi, ni maradhi kama aliyonayo Yericko Nyerere, huyu mwingine anaota kuwa Nyerere ndio baba'ke mzazi.
Hapa umenifanya nicheke sana, ngoja nitafute comment za mwalimu wa dini kwenye hu uzi!kwahiyo kuacha kuvaa,ni sehemu ya ibada!!!UNDERLINE
Mhhhhhhh! shemejiiiiiiiii? nasikitika tu nimepoteza namba zako, ningekutwangia uiedit hiyo post ikae uzuri zaidi
aya Bujibuji me najua hiyo kitu kuivalisha mifuko ya rambo ni kuinyima hewa bwana....
umevurugwa wewe picha ya nini hapa?
Bujibuji huyo NGULI asikusumbuwe nilimfanyia analysis ya maradhi yake yanayomsubuwa ya kudhani kuwa Kikwete ni babake mzazi, ni maradhi kama aliyonayo Yericko Nyerere, huyu mwingine anaota kuwa Nyerere ndio baba'ke mzazi.
Niko katika kuwapa tiba ya kisaikolojia, naona @Yericko ameanza kupona, ingawa bado ana delusions za kusema babake ni Yohannes Nyerere wakati Nyerere hana udugu nae hata kidogo. Alifikia mpaka kusema watoto wa Nyerere ni dadda zake na kaka zake, mpaka akaja mtoto wa Nyerere orijino Andrew Nyerere akamtoa nishai humu-humu JF kwa kusema kuwa kaulizia Msasani na Mwitongo hakuna amjuae mtu anaeitwa @Yericko katika ukoo wao. Ndio kidogo akaanza kujistukia kuwa yote yale ni ma hallucination tu.
Si unaona mpaka JF wamemshtukia wamemuondoa kwenye "verified" memba.
Asee hii mambo pelekeni siasani huku tunaongelea papuchi tu!