Calnde JF-Expert Member Oct 7, 2008 1,373 277 Jan 14, 2012 #1 Huyu ni Dr Mary Mwanjelwa Huyu ni Hon Zainabu Rashidi Kawawa Nashauri tupate picha za wabunge wetu wa viti maalumu wakiwa katika maeneo mbalimbali. Nadhani kuna vitu 'common' kwao. Tunaweza kuvipta. Huyu wa kwanza kanibariki kwa kweli.
Huyu ni Dr Mary Mwanjelwa Huyu ni Hon Zainabu Rashidi Kawawa Nashauri tupate picha za wabunge wetu wa viti maalumu wakiwa katika maeneo mbalimbali. Nadhani kuna vitu 'common' kwao. Tunaweza kuvipta. Huyu wa kwanza kanibariki kwa kweli.
Calnde JF-Expert Member Oct 7, 2008 1,373 277 Jan 14, 2012 Thread starter #2 Nimeshindwa kukuza, wanaoweza waweke vizuri
B Baba Collins JF-Expert Member Sep 24, 2011 502 106 Jan 14, 2012 #3 Wanamwakilisha nani hawa pumbaf?
Futota JF-Expert Member Dec 11, 2010 521 87 Jan 14, 2012 #5 TIQO said: Hapa ni kabla ya kuzomewa au? Click to expand... ILikuwaje hadi akazomewa? Lete mchapo
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Jan 14, 2012 #6 Futota said: ILikuwaje hadi akazomewa? Lete mchapo Click to expand... Aliongea pumba maeneo ya Sido kwa wananchi
Futota said: ILikuwaje hadi akazomewa? Lete mchapo Click to expand... Aliongea pumba maeneo ya Sido kwa wananchi
Edson JF-Expert Member Mar 7, 2009 9,846 5,076 Jan 14, 2012 #7 huyo jamaa ni yule meya kijana mpenda sifa? jery slaa?
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Jan 14, 2012 #8 Akihutubia madimbwi maeneo ya Mwanjelwa
rifwima JF-Expert Member Apr 21, 2010 507 212 Jan 14, 2012 #9 edson said: huyo jamaa ni yule meya kijana mpenda sifa? Jery slaa? Click to expand... chakula hiyo.......
edson said: huyo jamaa ni yule meya kijana mpenda sifa? Jery slaa? Click to expand... chakula hiyo.......
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 14, 2012 #10 TIQO said: Akihutubia madimbwi maeneo ya Mwanjelwa Click to expand... anawaambisa nini sasa hapo?
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Jan 14, 2012 #11 viti maalum walio wengi = chakula ya wakubwa.
Kayoka JF-Expert Member Jun 21, 2011 2,239 1,884 Jan 14, 2012 #12 TIQO said: Hapa ni kabla ya kuzomewa au? Click to expand... huyu ndo yule mwizi wa mataulo ya guest house kule Arusha au nimemfananisha.!?
TIQO said: Hapa ni kabla ya kuzomewa au? Click to expand... huyu ndo yule mwizi wa mataulo ya guest house kule Arusha au nimemfananisha.!?
Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Jan 14, 2012 #13 Kayoka said: huyu ndo yule mwizi wa mataulo ya guest house kule Arusha au nimemfananisha.!? Click to expand... Haswaaaa! ndio huyu aka kwapu!
Kayoka said: huyu ndo yule mwizi wa mataulo ya guest house kule Arusha au nimemfananisha.!? Click to expand... Haswaaaa! ndio huyu aka kwapu!