ILikuwaje hadi akazomewa?
Lete mchapo
huyo jamaa ni yule meya kijana mpenda sifa? Jery slaa?
anawaambisa nini sasa hapo?
Akihutubia madimbwi maeneo ya Mwanjelwa
huyu ndo yule mwizi wa mataulo ya guest house kule Arusha au nimemfananisha.!?