Kwani lini walikuwa na huruma kwa wapiga kura?
Kwa maneno YES, ila kwa maslahi yao NO,
Utawasikia wakilalama weeeeeeeeeee alafu wataishia na kuunga mkono asilimia mia moja. Sijawahi kusikia anayeunga asilimia ishirini!
Sasa wao wanafanya hivyo kwa ajili yao, sasa ni sisi watu na Watanzania kuamua cha kufanya kuliko kubaki hivi hivi