Huyu inawezekana alikuwa anaimba usiku
![]()
Lakini utaona threads za kuwaandama akina Mnyika ndizo zinafunguliwa, eti hajajenga barabara, japo wanaona anavyozimwa na mawaziri na spika.
Huyu inawezekana alikuwa anaimba usiku
![]()
Lakini utaona threads za kuwaandama akina Mnyika ndizo zinafunguliwa, eti hajajenga barabara, japo wanaona anavyozimwa na mawaziri na spika.
Wasira peke yake hapo tayari ana picha mbili tofauti za misinzio. Inaonekana hao ndio wana concentration kubwa sana wakiwa bungeni kuliko wenzao.Sio ajabu kama unavyofikiria. Unaweza kutazama TV,ukasinzia bila kufahamu.[na ukaiacha TV inaendelea]. Unaweza kusoma,ghafla ukalala. It is caused by concentration on some difficult to understand thing.
Kama wamechoka si wapumzike wawaachie wenye nguvu.Mnawaonea Bure wazee wa watu! Niambie kati ya hao nani ana miaka chini ya 40? Tatizo hapa ni uzee, watu wamechoka. Wamechoka kwa uzee lakini nasikia wanapiga mikasi kwa kasi pia wanashutumiana kwa kupiga misuba; kwa umri wao unategemea nini? Tano bora lazima!
Katika picha hizo yuko Sitta na mke wake pia!
Sijui ilikuwa siku hiyohiyo. Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
...kha! kwani huyu si anajulikana jaman 'MZEE WA KUTAFAKARI' :violin:msingemuweka humu.huyu mmemuonea, yeye ni SI Unit ya kulala bungeni, msingemuweka hapo. Hao wengine wakilala sanasana ni milli-wasira tano tu.
![]()
labda anaotaHuyo mwingine hao achini ananyonya kidole, sijui bado mtoto?