Wabunge 'Wenye Nidhamu'

Wabunge 'Wenye Nidhamu'

Mwanaukweli

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2007
Posts
4,789
Reaction score
1,732
Wabunge wa namna hii

1. Kamwe hawawezi kuwa na matatizo na spika.

2. Hawawezi kuitishiwa kikao cha kamati ya nidhamu.

3. Wapiga kura wao hawana shida na nini wanafanya bungeni

Hawapingi juhudi za maendeleo ambao serikali yetu sikivu inafanya.

attachment.php


attachment.php


8.jpg


314491_188992757853745_100002290673535_433680_184633268_n.jpg


wasira%2Bchapa%2Busingizi.jpg


attachment.php


Point ya mchami nadhani iko clear kwa wengi.

Bunge letu limetoka katika mstari wake sahihi, ambao ni kuisimamia serikali, limeiruhusu serikali isimamie bunge, kwa kuweka spika anayeamrishwa na muhimili wa utawala.

Wabunge wote wanaoonekana wanaibana serikali, hao wanaambiwa hawana nidhamu.

Lakini wabunge wanaokosa kuhudhuria, wanaolala bungeni, wanaochelewa, wasiotoa mchango wowote kuisaidia serikali kuendesha shughuli zake, hao ndio wabunge wema. Hawa wanaishi kwa raha bungeni, na posho zao zina uhakika.

Hao hawatasomewa kanuni kamwe.

Hao hawataitishiwa kikao cha kamati ya nidhamu ya bunge.

Hao hawatasimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.

Wananchi ni juu yetu kusema kama pesa yetu tunayokatwa kwenye kodi, inayotumika kuwalipa hawa wabunge mpaka wanakuwa tajiri kupindukia inatumika kihalali pale wabunge wetu wanapolala? Au kutoroka vikao? Au kuchelewa?

Asante mchami kwa kutuwekea tafakari, ambayo umeiweka kwa namna ya mzaha, lakini inazungumza kitu cha msingi.
 
Haha ha haa, walikeshea wapiiii.

Alafu ikifika ile ya nawahoji, wote watasema ndiyoooooo kwa kitu ambacho hawajakisikia hata.

Long way to go
 
Huyu wa mwisho nadhani anaombea wenzake
 
Ama kweli .. wa kijani wana nidhamu mno!
 
Hii ndo bongo bana, lolote waweza fanya popote kama una nafasi ya kufanya hivyo bila kuulizwa
 
ha ha ha ha ha!nimependa ulivyo ipanga kuanzia na six!
 
Katika picha hizo yuko Sitta na mke wake pia!

Sijui ilikuwa siku hiyohiyo. Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Kuwa mbunge wa ccm ni raha sana, unakula posho bila jasho. Halafu sijui maendeleo ya nchi yataletwa na nani. Wakati wao wamelaa wapinzani wako macho kuhakikisha hakuna jambo linalopitishwa kiholela, halafu wanaitwa vinara wa fujo.
 
Huyu inawezekana alikuwa anaimba usiku

8.jpg


Lakini utaona threads za kuwaandama akina Mnyika ndizo zinafunguliwa, eti hajajenga barabara, japo wanaona anavyozimwa na mawaziri na spika.
 
Watanzania ni wa ajabu sana kuna watu watakuja hapa kuwatetea.
 
huyu mmemuonea, yeye ni SI Unit ya kulala bungeni, msingemuweka hapo. Hao wengine wakilala sanasana ni milli-wasira tano tu.

wasira%2Bchapa%2Busingizi.jpg
Exactly mkuu,
attachment.php


Hapa akianza kuota kwa sauti, neno la kwanza litakuwa "Chadema..."
 

Attachments

  • wassira.PNG
    wassira.PNG
    189.6 KB · Views: 1,319
huyu mmemuonea, yeye ni si unit ya kulala bungeni, msingemuweka hapo. Hao wengine wakilala sanasana ni milli-wasira tano tu.

huyu kaamua kulinda na mali zake kabisa.
 
This is incredible na mbaya zaidi sura ya Taifa ndivyo inaonekana duniani.
 
Point ya mchami nadhani iko clear kwa wengi.

Bunge letu limetoka katika mstari wake sahihi, ambao ni kuisimamia serikali, limeiruhusu serikali isimamie bunge, kwa kuweka spika anayeamrishwa na muhimili wa utawala.

Wabunge wote wanaoonekana wanaibana serikali, hao wanaambiwa hawana nidhamu.

Lakini wabunge wanaokosa kuhudhuria, wanaolala bungeni, wanaochelewa, wasiotoa mchango wowote kuisaidia serikali kuendesha shughuli zake, hao ndio wabunge wema. Hawa wanaishi kwa raha bungeni, na posho zao zina uhakika.

Hao hawatasomewa kanuni kamwe.

Hao hawataitishiwa kikao cha kamati ya nidhamu ya bunge.

Hao hawatasimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.

Wananchi ni juu yetu kusema kama pesa yetu tunayokatwa kwenye kodi, inayotumika kuwalipa hawa wabunge mpaka wanakuwa tajiri kupindukia inatumika kihalali pale wabunge wetu wanapolala? Au kutoroka vikao? Au kuchelewa?

Asante mchami kwa kutuwekea tafakari, ambayo umeiweka kwa namna ya mzaha, lakini inazungumza kitu cha msingi.
 
Back
Top Bottom