Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
- Thread starter
- #41
No question, inabidi warudiea viapo vyao.
Bado nimekuwa natafuta sheria ya viapo kuangalia legality ya rais kuapa kwa kutumia katiba badala ya msahafu. Nilikuwa na kopi yangu wakati wa sakata la Shitambala kujiapisha wakati wa uchaguzi mdogo wa Mbeya, lakini siioni tena. Kama mwanasheria Buchanan unayo kopi ya sheria hiyo naomba utuwekee hapa tujipige msasa tena.
Mmmh, umenikumbusha mambo ya Shitambala jinsi ccm/cuf walivyokomalia kuhusu kiapo lakini hapa wanafanya madudu! Anyway, nitaangalia hiyo sheria ya viapo na kuibandika hapa baadaye!