Mh Chenge na Angela Kariuki ni wabunge pekee waliochangia hoja ya uundwaji wa kamati ya katiba! Waliowengi ni ujuha na ujinga.
Ukitaka kuchukia, kufurahi na kusikitika angalia bunge la Tanzania
Kale ka wimbo ' ngu..we pita sina mkuki mie...................................' haya malizia na ww
kaungane na waimba mipasho wenzako bungeni.
MKUU LAKINI NDANI YA CCM NI VIONGOZI GANI BORA ZAIDI YA CHENGE NA LOWASA WENGINE WOOTE HAWANA MISIMAMO WAPO NA WOGA WAO TUUU, nilimwamini Magufuli na Tibaijuka but nao wamezikwa kwa wooga wa kuuwawa!chenge gamba limeishia kiunoni, nikukata viuno kwa kwenda mbele.
MKUU LAKINI NDANI YA CCM NI VIONGOZI GANI BORA ZAIDI YA CHENGE NA LOWASA WENGINE WOOTE HAWANA MISIMAMO WAPO NA WOGA WAO TUUU, nilimwamini Magufuli na Tibaijuka but nao wamezikwa kwa wooga wa kuuwawa!
Mh Chenge na Angela Kariuki ni wabunge pekee waliochangia hoja ya uundwaji wa kamati ya katiba! Waliowengi ni ujuha na ujinga.
Ukitaka kuchukia, kufurahi na kusikitika angalia bunge la Tanzania
kwasasa na ndani ya CCM viongozi bora ni CHENGE na EL tu, the rest ni mavuvuzela, au tuite bendera kufuata upepo.
Kwani Chenge anatatizo gani zaidi ya Rada?Chenge huyu huyu! Au mwingine.
TEH TEH TEH JAMANI MBAVU ZANGU hb vuta picha chenge anakatikachenge gamba limeishia kiunoni, nikukata viuno kwa kwenda mbele.
kwasasa na ndani ya CCM viongozi bora ni CHENGE na EL tu, the rest ni mavuvuzela, au tuite bendera kufuata upepo.