Wabunge Wasiokuwa na Tija kwa Majimbo

Wafuasi wa CDM ni wagumu kuwa karibu na UHALISIA; mfano mdogo katika wilaya ya Kinondoni; majimbo yenye kero lukuki ni KAWE NA UBUNGO. Jimbo la Kinondoni kero zimedhibitiwa na Mbunge husika, Mheshimiwa Iddi Azzani ambaye yupo karibu na wananchi
Unaweza ukatufafanulia kisomi zaidi ili tujue ni shida gani na pia uzilinganishe na sehemu nyingine utuambie zimezidianaje. Matatizo ya utafiti ukiwa umekaa sehemu moja.
 
Watu kama MAFILILI anajulikana kwa upofu wake. Giza lililomo kichwani mwake ni la kutisha mno. Wakati mwingine tuangalie ni nani kaanzisha thread, na tuachane naye. Akiona hakuna wa kuchangia atajiona fara na pengine kubadilika. Kama habadiliki au akija na ID nyingine hiyo ni juu yake kupoteza muda kujisajiri mara kibao, lakini somo atakuwa kapata.
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!


silly!
 
Kama huna unafiki ndani yako kwanini uyaongelee majimbo yanayoshikiliwa na chama cha CDM tu? Mbona huongelei Kongwa, Mtera, Moshi (V), Same, Mwanga, Tanga yote, Pwani yote, Bagamoyo kwa mh Rais, Lindi yote, Mtwara, na maeneo menpine ambayo wabunge wake ni wa CCM lakini umaskini umetawala kila kona. Acha unafiki na ushabiki usio na tija kwa jamii ya sasa.
 
MAFILILI siamini ka kweli ni mtanzania na ni mtu mwenye akili timamu; hakuna mtanzania yeyote anayeweza kuibuka na kubeza kazi inayofanywa hususani na hao wa-Bunge kutoka kwenye majimbo aliyoyataja akaeleweka kwakweli, sanasana ataonekana ni Kichaa kama si Mwendawazimu kama we MAFILILI ulivyojidhiirisha mbele ya wanaJF.
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!


****** mtupu kama hauna kichwa chako hakina uwezo wa kutafakari na kuleta hoja yenye tija bora usoma maoni ya watu wengine na kukaa kimya tu!kwa muda mfupi uliojidanganya kuja kuleta utoto wako hapa hata rais wako mwenyewe kwa hana uwezo wa kuzunguka na kutafiti maendeleo na kero katika hayo majimbo husika ambayo yote yanaongozwa na Cdm
 
siku nyingine fanya research ya kutosha kabla hujaanika ***** wako hapa 'hata maandiko yanasema wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii kwa kuwa mioyo yao ni migumu na masikio yao wameyaziba wasiweze kusikia'
 
We ni mpuuzi; huna data za kutosha kuhusu maendeleo ya nchi hii, Wakati wa MWALIMU vijiji vya ujamaa vilikuwa vinamiliki matrekta, malori na mabasi kwa msaada wa serikali leo badala ya matrekta tunaletewa BATAVUZI mnazoita Power Tiller, sasa hapa tunaenda mbele au tunarudi nyuma? huoni huo uozo wa serikali yako unajifanya kutembelea halmashauri unazojua zipo chini ya CDM, mbona hutoi tathmini ya halmashauri zingine, tambua kuwa hizi ni changamoto za kitaifa si huko ulikoenda wewe tu, halmashauri kuwa chini ya CDM it doesnt mean kuwa wana tatua matatizo yote, GAMBA Mkuu we

Mashamba ya NAFCO Arusha na kule Basutu yalikuwa yanapuliziwa dawa za kuua wadudu kwa ndege maalum wakati wa MWALIMU angalia sasa baada ya miaka mingi tunarudi nyuma na kilimo kwanza kwa kutapakaza BATAVUZI za kulimia

Serikali inanunua magari ya kifahari kwa madai kuwa yaweze kusaidia kufika maeneo ya vijijini (Nissan Patrol and Land Cruisers) halafu serikali hiyohiyo inanunua BATAVUZI za kubebea wagonjwa vijijini ili zipite njia gani? yani kiongozi atumie Cruiser halafu barabara hiyohiyo mbaya ni suitable kwa mgonjwa kwa kutumia BATAVUZI

Hata jina lako linaashiria ulivyo kwani linakosana kidogo na MAFILIFILI, ndugu zangu toka pande za Mbeya naomba msaidie jamvi hili kutafsiri maana ya MAFILIFILI ili nipunguze ukali wa maneno toka kinywani kwangu
Poleni Magamba kwa research hewa mnazofanya
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!

Rafiki ziara yako ilikuwa ya kichama? Kiserikali? Au Binafsi? Na je, hadi unayafikia majimbo hayo uliyotaja hali ilikuwaje kwenye majimbo mengine ya chama chako? Husipo angalia utasababisha uvunjifu wa amani.
 
mawazir wez hawana majimbo!
We noma!
Hata mwez haujapita tv yako nyumbani kwako ilionyesha mbunge akifukuzwa jimbon kwake! Kama hujui ulizia ninan maana hata kuwakariri nashindwa simwon WA kumpongeza!
 
Mimi nisemee jimbo langu la Ubungo. Hili jimbo ni kubwa mno yaani tokea Sinza/manzese hadi mpakani na kibaha na ni jimbo ambalo lina changamoto nyingi sana huenda kuliko majimbo yote ya Dar. Jimbo la Ubungo lina mbunge makini ambaye mimi binafsi namuunga mkono sana. Ila kuna jambo moja ambalo wananchi wanalalamika kuhusu Mnyika nalo ni kwamba yeye anajikita zaidi kwenye masuala ya kitaifa kuliko ya kijimbo. Kwangu mimi huwa nazikubali sana hoja zake za kitaifa kwa kuwa huwa ni hoja nzuri lakini pia nimshauri kuwa pamoja na hizo hoja nzuri watu wanataka ajikite kwenye hoja za jimbo. Kuna changamoto za maji na barabara inabidi ajikite huko kuwatetea wapiga kura wake.
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!


Ulikwenda kufanya nini huko wewe au umagamba wakop unakuwasha?
 
Serikali inamiliki magari yenye thamani ya TSHS 5 Trillion kwa ajili ya wakubwa, lakini walipa kodi wanapewa mkokoteni wa kubebea wagonjwa. Na sasa mkokoteni umeharibika wananchi wamebaki kushangaa! 50 yrs ya uhuru!
Hivi mheshimiwa Hawa Ghasia aliuona mkokoteni ule ulivyochoka, maana ile zahanati ya kiromba ipo jimboni kwake Mtwara vijijini! Halafu ndugu Mafilili hasemi chochote kuhusu hili na Ghasia wake.
 
Mimi nisemee jimbo langu la Ubungo. Hili jimbo ni kubwa mno yaani tokea Sinza/manzese hadi mpakani na kibaha na ni jimbo ambalo lina changamoto nyingi sana huenda kuliko majimbo yote ya Dar. Jimbo la Ubungo lina mbunge makini ambaye mimi binafsi namuunga mkono sana. Ila kuna jambo moja ambalo wananchi wanalalamika kuhusu Mnyika nalo ni kwamba yeye anajikita zaidi kwenye masuala ya kitaifa kuliko ya kijimbo. Kwangu mimi huwa nazikubali sana hoja zake za kitaifa kwa kuwa huwa ni hoja nzuri lakini pia nimshauri kuwa pamoja na hizo hoja nzuri watu wanataka ajikite kwenye hoja za jimbo. Kuna changamoto za maji na barabara inabidi ajikite huko kuwatetea wapiga kura wake.
Wakati mwingine unafiki wako huniacha hoi kabisa! mara nyingi tumemsikia mheshimiwa Mnyika akipiga kelele bungeni kuhusu hizo kero, sasa unataka afanye nini zaidi ya hapo? watu waaina yenu mnapaswa kupuuzwa kwani mnayoyasema sio mnayoyaamini na kuyasimamia. Majungu na unafiki vimewashika mpaka makalioni mwenu!
 
Watanzania wenzangu nilikuwa na ziara katika majimbo ya Kawe, Ubungo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Rombo, Singida Mashariki, Hai na Kigoma Kaskazini nimekutana na mambo yasiyoridhisha katika halmashauri husika. Wabunge wao wameshindwa kukaa chini ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafuatia ufumbuzi.
Wananchi wa maeneo hayo wamesema "wanajuta kuwachagua wabunge ambao wawapo bungeni wanashikiria maslahi ya chama zaidi kuliko matakwa ya wapiga kura". Mbaya zaidi wabunge wao wanatumia muda mwingi kuhamasiha wananchi washiriki maandamano badala ya kuwahimiza wafanye kazi ili wajiletee maendeleo. Wanachadema muwe wawazi kuwaambia wabunge wenu WABADILIKE!!


mtu mzima hovyoo!Acha umbea na udaku kwa great thinkers.Kamwe 1 haiwez kuwa 2.We are great thinkers.
 
Hivi mheshimiwa Hawa Ghasia aliuona mkokoteni ule ulivyochoka, maana ile zahanati ya kiromba ipo jimboni kwake Mtwara vijijini! Halafu ndugu Mafilili hasemi chochote kuhusu hili na Ghasia wake.

Huo mkokoteni unaashiria maisha bora kwa mtazamo wa magamba, kwa hivyo Mafilili hawezi kulisemea hilo maana ccm imeshatimiza ahadi zake.
 
Back
Top Bottom